Wanaume kujichubua/kutumia vipodozi au Mikorogo

Wanaume kujichubua/kutumia vipodozi au Mikorogo

Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa sasa kujichubua/kutumia mikorogo shida ni nini,JE CHANZO NI WANAWAKE?

Unakutana na anko mloachana 7 years akiwa mweusi leo ni mweupe, au anakuwa na rangi mbili, shida nini, nini kifanyike kunusuru vijana wetu/wenzetu wa kiume.


Hii imekuwa siyo Darisalama tuh hata huku mkoani naona wanaume wengi/vijana wakitumia mikorogo je inatokana na kuuzwa kwa hiyo mikorogo kila sehemu?naamanisha upatikanaji wake kirahisi?
ETY NI KWELI DADA ZANGU MNAPENDA WANAUME WEUPE?

MAJIBU MAREFU MAREFU TAFADHALI NINA KAZI NAYOView attachment 1012841View attachment 1012842View attachment 1012843

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata hivyo wanafaa kwa matumizi ya dharura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefatilia mazungumzo yenu kwanza hongera kwa kuwaelewesha japokua wao walitaka muanze kukaa kusengenya watu ooh flan anajichubua sijui anajibleech lakini hukuwapa hiyo nafasi.

Big up kaka mkubwa.

Am flattered.

Kuna thread ya Karucee, it's a story. Nimekuona nikakumbuka we crossed paths kwenye story ya lara 1, you might like it too.

Check her profile.
 
Sawa zimeletwa na wakongo je watanzania nao nilazima wajichubue kwahiyo kila kitu wao wanaiga tu

Mwanaume unatakiwa upake babycare jamani

Mimi huwa siyo mpenzi wa mafuta, lakini lifestyle ya mtu hainichukulii muda.

Kwa sababu hata mwanamke anayetumia mkorogo sioni kama ni sawa na I never get into their ways.
 
Back
Top Bottom