Dkt J p. Magufuli akiwa waziri
View attachment 1013051View attachment 1013052
Akiwa Rais wa JMT[emoji115][emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna watu utahisi wanatumia mkorogo kumbe hakuna ni maisha tu yanabadilika.
Juma lokoleee typeeee
Ngoja wanakuja mkuu
Juma lokoleee typeeee
Ngoja wanakuja mkuu
Nimefatilia mazungumzo yenu kwanza hongera kwa kuwaelewesha japokua wao walitaka muanze kukaa kusengenya watu ooh flan anajichubua sijui anajibleech lakini hukuwapa hiyo nafasi.The way inavyoenda hii argument haioneshi kuisha.
Mimi nakubali 100% kwamba kuna wanaojichubua, at the same time kuna ambao rangi inang'ara kwa sababu ya kubadili mazingira.
Nitabaki na msimamo wangu, na sikulazimishi kukubaliana nao kama vile ambavyo hunilazimishi kukubaliana na msimamo wako.
We wasubiri tu mkuu wangu
Sawa zimeletwa na wakongo je watanzania nao nilazima wajichubue kwahiyo kila kitu wao wanaiga tuHizi swaga za mikorogo kwa wanaume zimeletwa zaidi na Wacongo.
nina mashaka na bwana akoNimefatilia mazungumzo yenu kwanza hongera kwa kuwaelewesha japokua wao walitaka muanze kukaa kusengenya watu ooh flan anajichubua sijui anajibleech lakini hukuwapa hiyo nafasi.
Big up kaka mkubwa.
Lol,
Mleta mada what exactly your point?
Kua kujichubua ni ruksa kwa mwanamke na vibaya kwa mwanaume? kua mwanaume anayejichubua unamtafsiri vipi?
Dude, unawezaje kukaa na kusengenya wanaume wenzio kua wanajichubua tukisema unawaonea wivu tutakosea??
The world would be a better place if every one would mind their own f.u.c.k.i.n business.
Damn!!!
punga alafu siwezi mwonea wivu mwanaume anayejichubua ,aliyejichubua, nina weupe wa asili,siyo sawa kwa woye me na ke kujichubua, ushawahi ona mzungu anataka kuwa mweusi ??
VICHWA MAJI SANA SISI WAAFRICA BAADHI YETU LAKINI
MBONA KAMA UNATESEKA USIJUTE BABY AKO YUMO MKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
weupe ninao naturally why nijikoroge tena,.Lol,
Wewe chukua limkorogo lako jichuuuuune utakavyo we don give a damn as long as is yo own damn skin.
oooh ok nimepata point kumbe mnajichubua ili mpate mademu dah ujinga kiwango cha lami,Una weupe wa asili kwa hiyo unawaonea wivu wenzio wenye weupe wa kujichubua?? hahaha they steal all hot girls out there hunh!! bwahahahaha
Very Pathetic.
Hebu weka picha yako kama kweli ni mweupe naturally isije kua ni mmoja wa wanaojichubua sasa umekuja kucheki upepo wadau watalipokeaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siwezi kupost pic yangu hapaHebu weka picha yako kama kweli ni mweupe naturally isije kua ni mmoja wa wanaojichubua sasa umekuja kucheki upepo wadau watalipokeaje.
Hahaha mwanzo alikua bwana angu na sasa mimi mwenyewe, loloooh ok nimepata point kumbe mnajichubua ili mpate mademu dah ujinga kiwango cha lami,
Sent using Jamii Forums mobile app