Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Why not??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siwezi kupost pic yangu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa sasa kujichubua/kutumia mikorogo shida ni nini,JE CHANZO NI WANAWAKE?
Unakutana na anko mloachana 7 years akiwa mweusi leo ni mweupe, au anakuwa na rangi mbili, shida nini, nini kifanyike kunusuru vijana wetu/wenzetu wa kiume.
Hii imekuwa siyo Darisalama tuh hata huku mkoani naona wanaume wengi/vijana wakitumia mikorogo je inatokana na kuuzwa kwa hiyo mikorogo kila sehemu?naamanisha upatikanaji wake kirahisi?
ETY NI KWELI DADA ZANGU MNAPENDA WANAUME WEUPE?
MAJIBU MAREFU MAREFU TAFADHALI NINA KAZI NAYOView attachment 1012841View attachment 1012842View attachment 1012843
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata hela na ukawa unaishi vizuri rangi inabadilika yenyewe.
Pamoja na hayo Kuna wengine ni vipodozi........ Mwanamke anjipodoe mwanaume nae kha!! Aibu asee
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefatilia mazungumzo yenu kwanza hongera kwa kuwaelewesha japokua wao walitaka muanze kukaa kusengenya watu ooh flan anajichubua sijui anajibleech lakini hukuwapa hiyo nafasi.
Big up kaka mkubwa.
Sawa zimeletwa na wakongo je watanzania nao nilazima wajichubue kwahiyo kila kitu wao wanaiga tu
Mwanaume unatakiwa upake babycare jamani
Of course kuna wanaojichubua pia.
Lakini kuna wengine life linakuwa limewaelewa.
HahahahWasira hana pesa?haishi vizuri?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wasira hana pesa?haishi vizuri?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ana hela au hana?Simple question.
Sent from my iPhone using JamiiForums