Wanaume kumi wanaongoza kwa utajiri JF

Wanaume kumi wanaongoza kwa utajiri JF

List Ya Wanaume Masikini JF.
1. JUAN MOSES
2. JUAN MOSES
3. JUAN MOSES.
Average Joe. Poor Ass Nigga.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji41][emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenisahau bro naomba niweke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu.

Huu ni uzi wetu maalumu sisi matajiri. Tupeane mbinu za kuendelea kutajirika

Pia tupeane mbinu za kuwatajirisha na wengine

Wasio matajiri pia mnaalikwa. Uliza mbinu za kutajirika uambiwe.. Uliza chochote kuhusu utajiri ujibiwe

Karibuni.
 
Acha kutuletea porojo, nani anayajua ya mbeleni?
Hakuna ajuae thats why tunaishi kwa imani, hata wewe najua unamipango yako kibao bt hata hujui kama kesho utafika, ukitaka tusiongee kisa hatuijui kesh yetu basi dunia inabidi isimame, coz hatutafanya chochote kisa hatujui ya mbeleni
 
Unajua watu wengine hawawajui Na wengine wanawachukulia tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
72a260825ffbafa4e509f0fec0bd54a1.jpg



Hahaha Smart911 my Tajiriiiiii [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]



Mahondaw wa Smart911
 
karibu demi..kwangu kila kitu utapata na kusaza. huduma zoooote utakazohitaji hapa zinapatikana. hutopungukiwa. achana na hawa vijana ambao sometimes yes sometimes no.. mi nnavyokupenda HATA MIMBA NTAKUPA. Utakalo ntakupa ili nafsi yako itulie mama... kama juice ndani ya friji...bila povu kabisa. uwe huru kama ndege mtini au twiga katikati ya pori utakula vya juu tu mamaa... ntakupendezesha demi kama ndege tausi anavyovutia na manyoya yake nawe utaimba kwa furaha kama kasuku mtini. ntakupa kila unalotaka hata moyo wangu ntakupatia ili uuweke akiba ikitokea moyo wako ukapata hitilafu au ukataka kufa wakuwekee wangu. ntakuongeza hata miaka yangu ya kuishi.. uishi duniani na ulinzi mkubwa zaidi ya trump au hapa tanzania anavyolindwa magufuli. njoo nikupe chochote utakacho kitakachokupa raha na furaha na wala usipungukiwe. achana na vijana wenye maneno ya ulaghai....
Kwa GuDume nimejipanga kisawasawa. Ha haa
 
Back
Top Bottom