bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 667
- 1,850
- Thread starter
- #61
HeeWaleni tiGo hao wake zenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeeWaleni tiGo hao wake zenu.
Ntakaa kinyonge ila sio kujiua aisee, nmepitia changamoto nyng sana na nimevuka sembuse kuachwa?Ni vizuri na busara sana kuwa na akiba ya maneno. Usiwaone hao wanaochukua hayo maamuzi kuwa ni wajinga! Bado tu hujabananishwa!
Unaingia mzima mzima unajitoa unahudumia, unasomesha mpaka wewe unajisahau halafu mkeo anakuja kuanza kukudharau na kuchezewa na majamaa waziwazi. Kama huna kifua au support system nzuri linaweza kutokea la kutokea.
Sasa wenye elimu kubwa atawaoa nani jamani? Maana hata wenye elimu wanawaogopa.Na hadi leo Baba aliwaasa kaka zangu na wadogo zangu wa kiume akasema oa mwanamke mwenye elimu ya kawaida wanawake wenye elimu kubwa ndoa kudumu mtihani aisee niliamini
[emoji38][emoji38][emoji38] Unapo hadithia mi mwenyewe nachekamke wangu alinambia nimsomeshee eti nimpeleke chuo akasome nlicheka mpka nkapaliwa...
Kuna Ukweli hapaAlafu hawajui kupika
Mimi nakuelewa sana MkuuKijana unataka kuoa tafuta darasa la saba sogea sogea mpaka form four or six weka ndani kula maisha,usicheze na hao wacheza porn kwa kigezo cha kusaidiana maisha siku akipata kazi
Wenye Elimu kubwa wengi sio watii na hawawaheshimu Waume zao...na bado wana mahusiano na X zao...mimi nina ushahidi na hiliSasa wenye elimu kubwa atawaoa nani jamani? Maana hata wenye elimu wanawaogopa.
Wa bongo mnasumbuliwa Sana na ngono, yaani unaogopa binti wa chuo! Unaogopa kukimbiwa na mchumba!Kitu ambacho wanaume wengi hamkijui ni Tabia za mwanamke ambae Anajitafuta au ana hali ngumu kimaisha huwa ni kama simba jike mwenye njaa kali so chochote kitakachotokea mbele yake kama kimenona anapita nacho, Maisha ya Binti alietoka Chuoni hana kazi wala Pesa huwa ni kama Wife Material full adabu na utii
Ndio hawa wanawake wa vyuoni au waliomaliza na ajira hawana, simaanishi kuwa hawana haki ya kupata wenza ila uwe makini sana kuwasoma kabla ya kuwaowa, Hao wakishaolewa huwa wanaendelea kuhaso kutafuta ajira sasa usiombee atume maombi alafu ukute upo nae Dar alafu uskie kapangiwa kituo cha kazi Dodoma huko or Mwanza au apate kazi ya maana ukiwa nae hapo ndio utaanza kujua tabia zake halisi
Mwaka 2017 nilimpotezaga kaka yangu, alikipenda kibinti kikiwa mwaka wa pili chuoni akawa anakihudumia,hadi kinamaliza Chuo akakiowa bwana ila kwenye uchumba tu ugomvi ulikuwa hauishi maana kulikuwa na Tetesi yule binti alikuwa na mpenzi wake wa zamani kwa siri ila kilichompeleka pale kwa Bro ni pesa
Kaka akaowa kibishi, Ndoa iko Mwaka wa kwanza tu, Binti akala shavu Kigoma huko shirika linalodeal na wakimbizi pesa nje nje, Ndoa ndio ilipoanza kuwa ndoano hapo maana ilikuwa ni Marufuku kaka kumfuata yule Binti kigoma hadi arudi yeye Dar hao ni wanandoa yani
Za chini chini wambea wakamtonya Kaka kuwa yuke Binti huwa anamsafirisha yule Mwanaume wake wazamani hadi kigoma anafikia kwake mara kwa mara na anamrudisha Dar tena kwa Ndege, Na ndio maana Binti hakutaka kaka Awe anaenda kigoma
Kaka mwaka 2016 mwishoni akanywa sumu ila aliponyea kufa yote ni kama alipata sonona ,akawa hana mtu wa kumwambia, Baada ya lile tukio ndio akaipa Familia ukweli sasa, familia ikaweka kikao yule Binti akaitwa ila akasema yupo Bize Kigoma huko yote jeuri ya pesa na pumzi
Ikabidi sisi kama familia sasa tuongeze ukaribu uliopitiliza, ili ile hali iondoke tukawa tunakaa kwake kwa zamu yote kumpa kampani maana tulishaona Dalili mbaya na ndio tulikuwa tunamtegemea yani wadogo zake ametusomesha na kutupigania sana, Wifi tukawa tukimpigia simu hata kupokea hapokei
Mwaka 2017 mwezi wa Sita akaanza kuugua vitu visivyoeleweka mara Presha mara anadondoka kazini, Alipopelekwa Hospitali kwa uchunguzi ikaonekana Mishipa yake ya moyo imeanza kutanuka tukaambiwa anatakiwa arelax na aache kuwa mtu wa Mawazo , ila kila tukijaribu ikawa mtihani, 2017 mwishoni akafariki alidondoka tu bafuni kumkimbiza Hospitali tayari akawa ameshaondoka hili pigo siwezi kulisahau
Baada ya hili tukio kutokea Baba nae hadi leo hajawahi kuwa sawa kabisa, ila aliwaita watoto wake wote wa kiume kitu nachokumbuka alisema oweni wanawake wenye elimu za kawaida msije kusumbuana huko mbele, na akasema tumewasomesha kwa garama kubwa na sasa mna kazi zenu yeyote atakaeleta tena Mwanamke hapa kama ana Elimu ya juu basi huyo Mwanamke naye ni Sharti awe na pesa na kazi kabla hamjafahamiana yaani kiwaunganishe upendo sio Pesa mlizokuwa nazo
Akasema kuwa ukiniletea hapa Mwanamke Mwenye elimu ya juu na hana kazi wala pesa basi mkatafute baba mwjngine ampokee huyo mwanamke kama mnae la sivyo aishie huko huko, yaani Baba ni kama alivurugwa na ile hali
Ila wansemaga Dam ya mtu ni kama nzito or inaweza kukulilia ila sijui kama ni kweli but yule Binti mwaka 2022 Tabora huko, alipataga ajali mbaya sana Gari aliyokuwa anaendesha ikagongana na lori miguu yote ikabanwa mean ikasagika akakatwa miguu yote kwa sasa ni mlemavu kabisa hana miguu.
Angalia wale maprofessor hawana wanaume ila wana watotoUkimkuta yupo humble kwa mumewe.... Hawa wanawake wenye kazi na Elimu ya degree.. Ni 1 katika 100
Siku hizi wamepata ufumbuzi, Wanatumia vifaa vya kisasa (elewa neno vifaa vya kisasa) kupikia, Anachofanya ni kusoma maelekezo na kufuata vipimo.Alafu hawajui kupika
Ni kweli kabisaAlafu hawajui kupika
Msomeshe mfungulie biashara kama ni mama watoto wako hata akikuacha atakula na wanaonimejalibu kusoma hii story yako na kuvaa viatu vya baba ako mzazi...binafsi alipitia maumivu makali sana na imeniuma sana poleni sana ,mchumba hasomeshwi na mke pia sizani kama ni sahihi kusomeshwa... pesa ya kumsomesha mke ni bora mfungue biashara....