Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Ntakaa kinyonge ila sio kujiua aisee, nmepitia changamoto nyng sana na nimevuka sembuse kuachwa?
 
Tuepuke kuoa mwanamke mwenye X....Tena ukute Ex mwenyewe waliachana sababu jamaa hajajipata au kwa kuwa umetokea mwenzangu na Mimi una vihela vyako umeahidi kuhudumia vizuri....Kuna bro wetu ishawahi mtokea hii,yule dada waliachanaga na ex wake kwa kuwa dada ake alikuwa anampa presha adate na mwanaume mwenye pesa waikomboe familia so kweli demu akampata bro baada ya Dem kujipata vizuri akawa anakodi hotel anaenda kukutana na ex wake😭
 
Kwanza naomba nitoe pole kwa familia ya mtoa mada kwa haya mazito yaliyoikumba familia kwakweli watu wema wamekuwa wakiangamia sana kwa kutokujua nn wanalolifanya na hii imesababushwa na wengi wetu kukosa subira ,maono na kushindwa kuomba ushauri kwa ndugu,marafiki au majirani ili kupata msaada wa kile unachokifanya kwa wakati huo,
Wengi wetu tumekuwa na maoni ya muda mfupi sana bila kujua haya ni maisha yako na mtu unayehisi ni mpenzi wako ndo utaenda kuishi nae ........hivyo basi ukifanya kosa tegemea majuto maisha yako yote.
Vijana wenzangu wakati umefika pale unapohisi kwamba uyu ni mtu sahihi....tujitahidi kushirikisha vijana wenzetu/ ndugu/marafiki hii itasaidia kupata kilicho Bora zaidi na kupunguza vifo kwa vijana vinavyosababishwa na stress.
 
Kijana unataka kuoa tafuta darasa la saba sogea sogea mpaka form four or six weka ndani kula maisha,usicheze na hao wacheza porn kwa kigezo cha kusaidiana maisha siku akipata kazi
Mimi nakuelewa sana Mkuu

Kuna jamaa yangu ni Daktari kabisa alioa Mhasibu msomi wa chuo kikuu wakazaa mtoto mmoja na tumemchangia kabisa kwny shughuli yake...juzi akaoa binti mdogo aliyeishia Fm IV

Ukimuuliza kulikoni? Anasema ameamua kumuoa Mwanamke anayemsikiliza na sasahivi ana amani tele

Kuna Wanawake wasomi hawafai kabisa kiukweli though sio wote
 
Wa bongo mnasumbuliwa Sana na ngono, yaani unaogopa binti wa chuo! Unaogopa kukimbiwa na mchumba!
Sasa wewe unaweza kukabiliana na mishe za ku tafuta pesa ndefu(sio za kununua ka IsT na ku Jenga nyumba ya vyumba vitano), namaanisha ku tafuta mkwanja mrefu utoe ajira, kwa, ndugu na jamaa, kama watu 60+,
Ndio maana mjini vichaa wengi, wengi wanavurugwa na mapenzi!
Bro wanawake ni wengi Sana, hata huko vyuoni wapo wazuri tu,
Hata kitaani wale walioishia LA, Sana wapo vicheche, wanatamani simu na chips kuku, na lift, I speaks from experience, nimewala wengi Sana,
 
Msomeshe mfungulie biashara kama ni mama watoto wako hata akikuacha atakula na wanao
 
Tatizo mnaoa wake za watu kwa kuwavuta na ulimbo(pesa)..

Pole kwa binti, ila mabinti wakianza kukufanyia visa huwa hawarudi nyuma utasanda tu.
Sometimes kuchepuka ni muhimu, kaka yenu mngemsogezea mali safi nae awe anajichapia mdo mdo, sasa mnaenda nyie wadogo zake afanye nini na nyie??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…