inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Naona unanisema mimi kudharau red flag.Aya bwana.Ndio shida ya kudharau red flags,,,kaka yako toka awali alishaona hapa kuna mushkeli lkn akakaza fuvu kwamba akisha muoa atakuwa amesolve tatizo na hapo ndipo shida ilipoanzia
Always kuwa makini sana na small details
That's what we call divine retribution!Binti mwaka 2022 Tabora huko, alipataga ajali mbaya sana Gari aliyokuwa anaendesha ikagongana na lori miguu yote ikabanwa mean ikasagika akakatwa miguu yote kwa sasa ni mlemavu kabisa hana miguu.
Na akienda kazini kwake, kazini kwake kunakuwa na kazi nyingine lazima akusahau 😂😂😂😂Ni kweli kabisa, mimi kuna mwanamke kanizidi miezi 7, kamaliza chuo anajitafuta na shughuli za hapa na pale, tupo wapenzi nashangaa ananisalimia, namuona kama tapeli tu, kwasababu hapo akipata kazi lazima aende kazini kwake, na najua hakuna ndoa ya mbali.
🙆🙆🙆Si tulikubaliana km hauna akili usioe!
Yupo sahihi Acha ubishiUshauri wa mwanamke kuhusu mwanamke mwenzake mara zote sio wa kuuamini kabisa 🤔
Mtihani sanaWanawake hawa walisoma degree za kukariri na kujibia tu mitihan sio poa .ila kuna wengine ni materials kabisa ila asilimia kubwa huwa maisha yanawachanganya na kuharibu mbeleni.! Kuna mwanangu yeye alitangulia kuoa kama mwaka na alioa mfanyakazi yeye ni material lakin jamaa kama anahisi kakosea kuoa kwa sababu anajimudu kwa kila kitu lakin hawez mwambia mke aache kazi kwa kuwa kamkuta
Alinisisitiza sana kuwa nisioe mwanamke mfanyakazi mtasumbuana sana na ndoa itakuwa haina amani kivile maana lengo la ndoa ni utulivu sasa kama hupati utulivu mtasumbuana.
Mana kulikuwa na kibint cha first year udsm. Jamaa kaniambia piga chini huyo tafuta form 4 tu mambo usiyafanye mengi kutaka mje kusaidiana maisha sijui nini utafeli pakubwa brother.
Kuna mchizi na yeye alimfungulia biashara mke wake kwa sababu yupo nyumbani tu matokeo yake kapata bwana huko kwenye biashara. Mwisho wa siku kakosa mke na biashara...
Yote tisa wanawake hawana formula hawaeleweki kabisa unaweza chukua huyo wa mtaani na mkasumbuana kweli kweli na pia akakusaliti.!
Ushauri wangu kwa vijana ni kuwa mke anaandaliwa tanga chini sio umeona binti ana tako na ziwa ,nywele ndefu ukaona huyo ndio mke utapata ukimwi wazazi wako walie peke yao.
Mapenzi huwa hayana ushauri , mara usioe single mother , mara oa mara kataa ndoa ,mara usioe watoto wa 2000 ,mara usioe waliotoka chuo hizi ni soga tu , mkuu ukinasa umenasa mapenzi ya kweli hayanaga ushauri.Yupo sahihi Acha ubishi
Binafsi kuna wanawake zaidi ya 5 washawahi kunitafuta wakiniulizia namba za ma-ex wao , walishaolewa wengine karibia miaka 12 .Tuepuke kuoa mwanamke mwenye X....Tena ukute Ex mwenyewe waliachana sababu jamaa hajajipata au kwa kuwa umetokea mwenzangu na Mimi una vihela vyako umeahidi kuhudumia vizuri....Kuna bro wetu ishawahi mtokea hii,yule dada waliachanaga na ex wake kwa kuwa dada ake alikuwa anampa presha adate na mwanaume mwenye pesa waikomboe familia so kweli demu akampata bro baada ya Dem kujipata vizuri akawa anakodi hotel anaenda kukutana na ex wake😭
Unapooa unatumia akili sio hisia. Na kibaya wanaume wasio wahuni hutumia hisia ila wahuni hutumia akili. Akili haoa ni hii imjue kuwa kweli anakuheshimu au kaja umuokoe na shida za mjini. Most of graduates wameharibu sana hisia hivyo wapo zaidi kimaslahi. Jambo la msingi chukua pointi positive negative Acha.Mapenzi huwa hayana ushauri , mara usioe single mother , mara oa mara kataa ndoa ,mara usioe watoto wa 2000 ,mara usioe waliotoka chuo hizi ni soga tu , mkuu ukinasa umenasa mapenzi ya kweli hayanaga ushauri.
A girl under 25 unampaje mwanaume mtaji..I mean kafika 30 hajajipata.Hii ipo kwa pande zote hata kwa wanawake wapo kibao wamekula za uso kwa kukubali kuolewa na wanaume wanaojitafuta baada ya kuwewezeshwa na hao wanawake wakawatenda
Kwaiyo kumbe ni story ya kweli!!?Nimeshamjua isee hii dunia ni ndogo sana.
Ni ushauri mzuri mno , ila kwa watakao oa utawafaa zaidi mkuuUnapooa unatumia akili sio hisia. Na kibaya wanaume wasio wahuni hutumia hisia ila wahuni hutumia akili. Akili haoa ni hii imjue kuwa kweli anakuheshimu au kaja umuokoe na shida za mjini. Most of graduates wameharibu sana hisia hivyo wapo zaidi kimaslahi. Jambo la msingi chukua pointi positive negative Acha.
JamaniKitu ambacho wanaume wengi hamkijui ni Tabia za mwanamke ambae Anajitafuta au ana hali ngumu kimaisha huwa ni kama simba jike mwenye njaa kali so chochote kitakachotokea mbele yake kama kimenona anapita nacho, Maisha ya Binti alietoka Chuoni hana kazi wala Pesa huwa ni kama Wife Material full adabu na utii
Ndio hawa wanawake wa vyuoni au waliomaliza na ajira hawana, simaanishi kuwa hawana haki ya kupata wenza ila uwe makini sana kuwasoma kabla ya kuwaowa, Hao wakishaolewa huwa wanaendelea kuhaso kutafuta ajira sasa usiombee atume maombi alafu ukute upo nae Dar alafu uskie kapangiwa kituo cha kazi Dodoma huko or Mwanza au apate kazi ya maana ukiwa nae hapo ndio utaanza kujua tabia zake halisi
Mwaka 2017 nilimpotezaga kaka yangu, alikipenda kibinti kikiwa mwaka wa pili chuoni akawa anakihudumia,hadi kinamaliza Chuo akakiowa bwana ila kwenye uchumba tu ugomvi ulikuwa hauishi maana kulikuwa na Tetesi yule binti alikuwa na mpenzi wake wa zamani kwa siri ila kilichompeleka pale kwa Bro ni pesa
Kaka akaowa kibishi, Ndoa iko Mwaka wa kwanza tu, Binti akala shavu Kigoma huko shirika linalodeal na wakimbizi pesa nje nje, Ndoa ndio ilipoanza kuwa ndoano hapo maana ilikuwa ni Marufuku kaka kumfuata yule Binti kigoma hadi arudi yeye Dar hao ni wanandoa yani
Za chini chini wambea wakamtonya Kaka kuwa yuke Binti huwa anamsafirisha yule Mwanaume wake wazamani hadi kigoma anafikia kwake mara kwa mara na anamrudisha Dar tena kwa Ndege, Na ndio maana Binti hakutaka kaka Awe anaenda kigoma
Kaka mwaka 2016 mwishoni akanywa sumu ila aliponyea kufa yote ni kama alipata sonona ,akawa hana mtu wa kumwambia, Baada ya lile tukio ndio akaipa Familia ukweli sasa, familia ikaweka kikao yule Binti akaitwa ila akasema yupo Bize Kigoma huko yote jeuri ya pesa na pumzi
Ikabidi sisi kama familia sasa tuongeze ukaribu uliopitiliza, ili ile hali iondoke tukawa tunakaa kwake kwa zamu yote kumpa kampani maana tulishaona Dalili mbaya na ndio tulikuwa tunamtegemea yani wadogo zake ametusomesha na kutupigania sana, Wifi tukawa tukimpigia simu hata kupokea hapokei
Mwaka 2017 mwezi wa Sita akaanza kuugua vitu visivyoeleweka mara Presha mara anadondoka kazini, Alipopelekwa Hospitali kwa uchunguzi ikaonekana Mishipa yake ya moyo imeanza kutanuka tukaambiwa anatakiwa arelax na aache kuwa mtu wa Mawazo , ila kila tukijaribu ikawa mtihani, 2017 mwishoni akafariki alidondoka tu bafuni kumkimbiza Hospitali tayari akawa ameshaondoka hili pigo siwezi kulisahau
Baada ya hili tukio kutokea Baba nae hadi leo hajawahi kuwa sawa kabisa, ila aliwaita watoto wake wote wa kiume kitu nachokumbuka alisema oweni wanawake wenye elimu za kawaida msije kusumbuana huko mbele, na akasema tumewasomesha kwa garama kubwa na sasa mna kazi zenu yeyote atakaeleta tena Mwanamke hapa kama ana Elimu ya juu basi huyo Mwanamke naye ni Sharti awe na pesa na kazi kabla hamjafahamiana yaani kiwaunganishe upendo sio Pesa mlizokuwa nazo
Akasema kuwa ukiniletea hapa Mwanamke Mwenye elimu ya juu na hana kazi wala pesa basi mkatafute baba mwjngine ampokee huyo mwanamke kama mnae la sivyo aishie huko huko, yaani Baba ni kama alivurugwa na ile hali
Ila wansemaga Dam ya mtu ni kama nzito or inaweza kukulilia ila sijui kama ni kweli but yule Binti mwaka 2022 Tabora huko, alipataga ajali mbaya sana Gari aliyokuwa anaendesha ikagongana na lori miguu yote ikabanwa mean ikasagika akakatwa miguu yote kwa sasa ni mlemavu kabisa hana miguu.
OkKitu ambacho wanaume wengi hamkijui ni Tabia za mwanamke ambae Anajitafuta au ana hali ngumu kimaisha huwa ni kama simba jike mwenye njaa kali so chochote kitakachotokea mbele yake kama kimenona anapita nacho, Maisha ya Binti alietoka Chuoni hana kazi wala Pesa huwa ni kama Wife Material full adabu na utii
Ndio hawa wanawake wa vyuoni au waliomaliza na ajira hawana, simaanishi kuwa hawana haki ya kupata wenza ila uwe makini sana kuwasoma kabla ya kuwaowa, Hao wakishaolewa huwa wanaendelea kuhaso kutafuta ajira sasa usiombee atume maombi alafu ukute upo nae Dar alafu uskie kapangiwa kituo cha kazi Dodoma huko or Mwanza au apate kazi ya maana ukiwa nae hapo ndio utaanza kujua tabia zake halisi
Mwaka 2017 nilimpotezaga kaka yangu, alikipenda kibinti kikiwa mwaka wa pili chuoni akawa anakihudumia,hadi kinamaliza Chuo akakiowa bwana ila kwenye uchumba tu ugomvi ulikuwa hauishi maana kulikuwa na Tetesi yule binti alikuwa na mpenzi wake wa zamani kwa siri ila kilichompeleka pale kwa Bro ni pesa
Kaka akaowa kibishi, Ndoa iko Mwaka wa kwanza tu, Binti akala shavu Kigoma huko shirika linalodeal na wakimbizi pesa nje nje, Ndoa ndio ilipoanza kuwa ndoano hapo maana ilikuwa ni Marufuku kaka kumfuata yule Binti kigoma hadi arudi yeye Dar hao ni wanandoa yani
Za chini chini wambea wakamtonya Kaka kuwa yuke Binti huwa anamsafirisha yule Mwanaume wake wazamani hadi kigoma anafikia kwake mara kwa mara na anamrudisha Dar tena kwa Ndege, Na ndio maana Binti hakutaka kaka Awe anaenda kigoma
Kaka mwaka 2016 mwishoni akanywa sumu ila aliponyea kufa yote ni kama alipata sonona ,akawa hana mtu wa kumwambia, Baada ya lile tukio ndio akaipa Familia ukweli sasa, familia ikaweka kikao yule Binti akaitwa ila akasema yupo Bize Kigoma huko yote jeuri ya pesa na pumzi
Ikabidi sisi kama familia sasa tuongeze ukaribu uliopitiliza, ili ile hali iondoke tukawa tunakaa kwake kwa zamu yote kumpa kampani maana tulishaona Dalili mbaya na ndio tulikuwa tunamtegemea yani wadogo zake ametusomesha na kutupigania sana, Wifi tukawa tukimpigia simu hata kupokea hapokei
Mwaka 2017 mwezi wa Sita akaanza kuugua vitu visivyoeleweka mara Presha mara anadondoka kazini, Alipopelekwa Hospitali kwa uchunguzi ikaonekana Mishipa yake ya moyo imeanza kutanuka tukaambiwa anatakiwa arelax na aache kuwa mtu wa Mawazo , ila kila tukijaribu ikawa mtihani, 2017 mwishoni akafariki alidondoka tu bafuni kumkimbiza Hospitali tayari akawa ameshaondoka hili pigo siwezi kulisahau
Baada ya hili tukio kutokea Baba nae hadi leo hajawahi kuwa sawa kabisa, ila aliwaita watoto wake wote wa kiume kitu nachokumbuka alisema oweni wanawake wenye elimu za kawaida msije kusumbuana huko mbele, na akasema tumewasomesha kwa garama kubwa na sasa mna kazi zenu yeyote atakaeleta tena Mwanamke hapa kama ana Elimu ya juu basi huyo Mwanamke naye ni Sharti awe na pesa na kazi kabla hamjafahamiana yaani kiwaunganishe upendo sio Pesa mlizokuwa nazo
Akasema kuwa ukiniletea hapa Mwanamke Mwenye elimu ya juu na hana kazi wala pesa basi mkatafute baba mwjngine ampokee huyo mwanamke kama mnae la sivyo aishie huko huko, yaani Baba ni kama alivurugwa na ile hali
Ila wansemaga Dam ya mtu ni kama nzito or inaweza kukulilia ila sijui kama ni kweli but yule Binti mwaka 2022 Tabora huko, alipataga ajali mbaya sana Gari aliyokuwa anaendesha ikagongana na lori miguu yote ikabanwa mean ikasagika akakatwa miguu yote kwa sasa ni mlemavu kabisa hana miguu.