Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Inategemea ulimuoa kwa ajili ya mbususu,au factor zingine
Mie nao mwanamke kwa ajili ya mbususu basi akili tayari ninazo za kuendesha life...sina ambition ya kuwa bilionea so sihitaji extra brain.
Ambition yangu kuu maishani nikufikisha miaka 80 huku nikiwa bado na nguvu za kuwezA sasambua mbususu za vitoto vya 26-35
 
Ndio shida ya kudharau red flags,,,kaka yako toka awali alishaona hapa kuna mushkeli lkn akakaza fuvu kwamba akisha muoa atakuwa amesolve tatizo na hapo ndipo shida ilipoanzia

Always kuwa makini sana na small details
Hapa anapewa lawama mwanamke ila aliezingua ni huyo jamaa. Alishaona toka mwanzo hapa maji marefu akaamua kupima kina kwa miguu yote.
 
Kaka Yako alijichanganya mwenyewe picha linaanza anamsomesha mchumba that was a grave mistake, pia miez michache kabla hajamuoa binti alishaanza kumuonyesha rangi yake halisi ila marehemu akajifanya kipofu na kiziwi kikubwa alijiharibia mwenyewe apumzike anapostahili.
 
Wewe unakuwa ndiye mke nimtakae...hebu njoo inbox kipenzi tuyajenge.
 
hii umetengeneza kiaina...Ila usikute hata huyo mwanaume hamuonyeshei ila yeye kw kiherehere akaamua kumfuatilia..hata wanaume wrnye pesa au vyeo wanamichepuko lakini wanaheshimu wake zao tofauti na wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…