Uwiii hahahahahhahaa uwiii hahahahah
Kumbe hujui sisi wanaume akili zetu zilivyo???
Umewahi jiuliza kwann wanawake wazuri wa sura na mashep hawaolewi, wengi wanazalishwa tu ?????.
Kwa Taarifa yako, kwenye Kuoa, Mwanaume anayejitambua Hutafuta Mwanamke yule kweli aliyekomaa kubeba maisha yake yenye Udhaifu na Uimara, mapungufu, uvumilivu, upendo wa dhati n.k kwa 90%.
Hawa wazuri, wapuuuzi sana, kwanza sio watiifu , pili Akili zao wanahamishia kwenye mitako na sura na lishep. Kwahiyo niwepesi kukubaisha sababu anatongozwa sanaaaa
Tatu, mwanamke anayetongozwa sanaaaaaaa kiuhalisia, atakwepa mishale 999 ila ule mmoja wa 1000 unamnasa.
Naweza kuelezeaa mengi mpaka yakatosha kitabu.
Ila la msingi...MWANAMKE MAKINI NDIO ATAOLEWA BILA KUJALISHA, SURA, UMBO N.K
namwanamke asiye makini, Atakua mchepuko tu ..hamna namna[emoji120]