Wanaume, kwanini mnaoa wanawake wasio warembo kisha mnafumaniwa na warembo?

Wanaume, kwanini mnaoa wanawake wasio warembo kisha mnafumaniwa na warembo?

Uwiii hahahahahhahaa uwiii hahahahah


Kumbe hujui sisi wanaume akili zetu zilivyo???


Umewahi jiuliza kwann wanawake wazuri wa sura na mashep hawaolewi, wengi wanazalishwa tu ?????.



Kwa Taarifa yako, kwenye Kuoa, Mwanaume anayejitambua Hutafuta Mwanamke yule kweli aliyekomaa kubeba maisha yake yenye Udhaifu na Uimara, mapungufu, uvumilivu, upendo wa dhati n.k kwa 90%.


Hawa wazuri, wapuuuzi sana, kwanza sio watiifu , pili Akili zao wanahamishia kwenye mitako na sura na lishep. Kwahiyo niwepesi kukubaisha sababu anatongozwa sanaaaa

Tatu, mwanamke anayetongozwa sanaaaaaaa kiuhalisia, atakwepa mishale 999 ila ule mmoja wa 1000 unamnasa.



Naweza kuelezeaa mengi mpaka yakatosha kitabu.



Ila la msingi...MWANAMKE MAKINI NDIO ATAOLEWA BILA KUJALISHA, SURA, UMBO N.K


namwanamke asiye makini, Atakua mchepuko tu ..hamna namna[emoji120]
Uzwi tayari unefungwa na hii comment sasa sijui mnaendelea kureply nini wanaume wenzangu
 
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.

Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?

Je, tatizo nini?

Tuambizane.
Hao warembo ni wa kila mtu, Unaweza kufa mapema siku si zako.
 
Uwiii hahahahahhahaa uwiii hahahahah


Kumbe hujui sisi wanaume akili zetu zilivyo???


Umewahi jiuliza kwann wanawake wazuri wa sura na mashep hawaolewi, wengi wanazalishwa tu ?????.



Kwa Taarifa yako, kwenye Kuoa, Mwanaume anayejitambua Hutafuta Mwanamke yule kweli aliyekomaa kubeba maisha yake yenye Udhaifu na Uimara, mapungufu, uvumilivu, upendo wa dhati n.k kwa 90%.


Hawa wazuri, wapuuuzi sana, kwanza sio watiifu , pili Akili zao wanahamishia kwenye mitako na sura na lishep. Kwahiyo niwepesi kukubaisha sababu anatongozwa sanaaaa

Tatu, mwanamke anayetongozwa sanaaaaaaa kiuhalisia, atakwepa mishale 999 ila ule mmoja wa 1000 unamnasa.



Naweza kuelezeaa mengi mpaka yakatosha kitabu.



Ila la msingi...MWANAMKE MAKINI NDIO ATAOLEWA BILA KUJALISHA, SURA, UMBO N.K


namwanamke asiye makini, Atakua mchepuko tu ..hamna namna[emoji120]
Ndugu carlos mchngowako ni mkubwa sana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Wadada kujeni mpitie uzi huu. Kuna salamu zenu.

Manake kuna wadada wanapenda sana waume za watu... Sijui why. Yaani wakiona pete tu ya ndoa wanaona ahaaa sponsor si ndo huyu.

Halafu wanajimwambafy kabisa na kuhakikisha wake wa ndoa wanagundua kwamba na wao wapo katika maisha ya huyo mwanamme.

Huku wakitaka hao wanaume wawaache wake zao waolewe wao kisa ni wazuri sana.

Kujeni sasa muone mnavyotumika na ndoa zao hawavunji ng'o.
Kwa sisi wanaume,
Ni ngumu Sana kumuacha kirahisi mwanamke Wako wa maisha, aliekuvumilia kwny shida na Raha from zero-hero

eti kwa ajili mwanamke pisi Kali wa kupita.

HAPO NDO MAANA HALISI YA neno "MWANAUME ni KICHWA CHA FAMILIA"




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama 80 age hivi?[emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Ulivyotaja hiyo age umenikumbusha tukio la Kwa NDAMBI GOBA.

BABU 80Yrs.jpg


BINTI_33_0.jpg
 
Mwanamke mzuri huanza na tabia. Kuwa mzuri wa mwili ila tabia sio nzuri huwa ni adhabu ambayo viungo vya siri ndio huteseka.

Ila kwa asilimia kubwa, ni nadra sana ukutane na mwanamke mzuri na mrembo halafu akawa na akili. Wengi wanakuwa ni wajinga kiakili, hawajielewi, lakini mbaya zaidi hawajui kuwa uzuri ni kitu cha muda fainali ni uzeeni.
 
Hivi kwanini kila mwanaume ukiachana na mwanamke baada ya miezi sita unakutana nae kachoka sana? Kwanini mnapenda sana hizi hadithi[emoji16][emoji1787][emoji1787]...kwamba we ndo ulikuwa unamfanya anawiri??



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nilisikia alichoropoa mimba na ndomaana akakondeana kama kiroboto. Ila kwasasa yupo vizuri kawa mrembo zaidi, kaolewa na tumebakia kuwa marafiki tu.
 
Kama kuna Mdada anahangaika kuolewa akipitia huu Uzi akashindwa kurekebisha mwenendo wake basi Ni kweli Sikio la Kufa halisikii Dawa ...............
 
Ukitaka kuoa mwanamke siyo lazima Sura

Unaanza vipi interaction na wengine ukikuta yeye kila muda Yuko kwenye mitandao ya kijamii mipicha mipasho siyo mke pig kando huyo anakuwa mpango wa kando.

Mwanamke aliye bize na maisha mara chache mitandaoni .

Hakika Una Raha hata ukioa

Hatuangalii Sura Bali contents zilizomo humo Kwa mke mwema
 
Ukitaka kuoa mwanamke siyo lazima Sura

Unaanza vipi interaction na wengine ukikuta yeye kila muda Yuko kwenye mitandao ya kijamii mipicha mipasho siyo mke pig kando huyo anakuwa mpango wa kando.

Mwanamke aliye bize na maisha mara chache mitandaoni .

Hakika Una Raha hata ukioa

Hatuangalii Sura Bali contents zilizomo humo Kwa mke mwema
Well said!!!
 
Back
Top Bottom