Wanaume kweli wamewazidi mbali mno wanawake kwenye kuchangamana

Wanaume kweli wamewazidi mbali mno wanawake kwenye kuchangamana

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
WANAUME KWELI WAMEWAZIDI MBALI MNO WANAWAKE KWENYE KUCHANGAMANA
1734709743944.jpg

1. WANAUME ni rahisi kupiga stori kama watu wanaofahamiana muda mrefu utajua kuwa hawafahamiani kwenye kuitana majina utasikia Tall, White, Uncle, Big, Mkuu, Kiongozi, Shekh, Mangi, Ngosha, Mwaisa, Tata, mtumishi, kaka

2. WANAUME wachache sana wanaosusa chakula msibani kwasababu ya status zao (vyeo, muonekano, mafanikio yao) wanaume wengi wakiwa kwenye maswala ya kijamii hupenda kushiriki vile wanavyofanya wengine bila kujali cheo chake au status yake ilivyo kubwa. Anachimba kaburi, atakaa chini, atachafuka, atasogeza viti, atafanya vile wanaume wenzake wanafanya ila wanawake wengi huwa watu wa kujisikia sana hata kwenye mambo ya kijamii anaweza kususa chakula na ataongea na yule aliyemzoea tu tofauti na wanaume wao huongea na kila mtu

3. WANAUME hupiga stori na yeyote atakayekuja mahala bila kujali muonekano wake au utofauti wao wa kiuchumi. Tofauti na mwanamke huangalia mtu wa hadhi yake ndiye anaweza kuongea naye, wepesi wa kujitenga

4. WANAUME wanaweza kununulia vinywaji au chakula, kahawa au pombe hata hawafahamiani sana kitu ambacho wanawake ni vigumu sana kumnunulia chakula au kinywaji mwanamke asiiyemfahamu vyema. Eti mpe na yule na yule kisa wakutana mahala.

5. WANAUME ni rahisi kupeana lift (kubebana) walikuwa msibani au kwenye sherehe utasikia wewe unaelekea wapi. Basi nikakuache pale mbele au anaweza kumpeleka mpaka mahala anapotakiwa kufika ila kwa wanawake kitu ambacho ni kigumu sana kutokea eti mkutane msibani au kwenye sherehe mpeane lift ya gari

6. WANAUME ni rahisi kudhaminiana kwenye kesi ila wanawake rafiki yake akikamatwa tu anaweza hata kumkana kabisa wala asiende hata kumjulia hali au kumdhamini polisi au mahakani yaani unafiki wa wanawake mkubwa

Haya ni baadhi katika mengi ambayo wanaume wanayo ila wanawake wengi hawana na nidra sana kuyaona kwenye maisha yako yakifanyika.
 
sema nasisi wanaume tumezidi ukatili kama lile jamaa linajiita li bartazar wa shinyanga alichokifanya ni upumbavu, mara mtu anaenda kudinya mtoto wake haya matukio ya hivi yananikera sana yani hapa natamani hata kuandika tusi zito mno!, muda mwengine nasisi wanaume tunamatukio yakikengekenge sana!.
 
wanawake wengi huwa watu wa kujisikia sana hata kwenye mambo ya kijamii anaweza kususa chakula na ataongea na yule aliyemzoea tu tofauti na wanaume wao huongea na kila mtu
Oya kuna wanaume tukikasirika hatuli tunapandisha sumu kichwani ukiniudhi ukagundua sili chakula hama eneo nililopo ikiwezekana kimbia naweza nikakutafuna wewe kwa hio usikariri
 
Huo ndo uhalisia nimewahi safiri na jamaa kahama Hadi Dodoma Hadi tunafika majina hatujuani tumekuja kuambiana majina baada siki 6 maana tulipeana no. Tulichambua siasa,mpira mara mada inakuja madem wa siku hizi ni Vimeo sana kila mmoja anasema mkasa wake. Hadi Kuna jamaa mbele yetu nae akaunga juhudi ilikuwa ukitaka kununua vinywaji una muuliza mwenzio wee unatumia nn na unasema Kwa kujiachia kabisa kana kwamba anakununulia ndg Yako wa damu.
 
juhudi ilikuwa ukitaka kununua vinywaji una muuliza mwenzio wee unatumia nn na unasema Kwa kujiachia kabisa kana kwamba anakununulia ndg Yako wa damu.
Yaan unajitutumua nakunywa Fanta kuna mwenzio alilishwa Biscuts zinaitwa 'Cookie' kumbe ni zile zinazotengenezwa na Bangi ya kusaga na kupika alilala fofofo akakombwa mpaka raba zake watu wakapita nazo laptop simu anakuja kuamka watu walishashuka zamani sana anacheck miguu hana viatu
 
WANAUME KWELI WAMEWAZIDI MBALI MNO WANAWAKE KWENYE KUCHANGAMANA
View attachment 3181022
1. WANAUME ni rahisi kupiga stori kama watu wanaofahamiana muda mrefu utajua kuwa hawafahamiani kwenye kuitana majina utasikia Tall, White, Uncle, Big, Mkuu, Kiongozi, Shekh, Mangi, Ngosha, Mwaisa, Tata, mtumishi, kaka

2. WANAUME wachache sana wanaosusa chakula msibani kwasababu ya status zao (vyeo, muonekano, mafanikio yao) wanaume wengi wakiwa kwenye maswala ya kijamii hupenda kushiriki vile wanavyofanya wengine bila kujali cheo chake au status yake ilivyo kubwa. Anachimba kaburi, atakaa chini, atachafuka, atasogeza viti, atafanya vile wanaume wenzake wanafanya ila wanawake wengi huwa watu wa kujisikia sana hata kwenye mambo ya kijamii anaweza kususa chakula na ataongea na yule aliyemzoea tu tofauti na wanaume wao huongea na kila mtu

3. WANAUME hupiga stori na yeyote atakayekuja mahala bila kujali muonekano wake au utofauti wao wa kiuchumi. Tofauti na mwanamke huangalia mtu wa hadhi yake ndiye anaweza kuongea naye, wepesi wa kujitenga

4. WANAUME wanaweza kununulia vinywaji au chakula, kahawa au pombe hata hawafahamiani sana kitu ambacho wanawake ni vigumu sana kumnunulia chakula au kinywaji mwanamke asiiyemfahamu vyema. Eti mpe na yule na yule kisa wakutana mahala.

5. WANAUME ni rahisi kupeana lift (kubebana) walikuwa msibani au kwenye sherehe utasikia wewe unaelekea wapi. Basi nikakuache pale mbele au anaweza kumpeleka mpaka mahala anapotakiwa kufika ila kwa wanawake kitu ambacho ni kigumu sana kutokea eti mkutane msibani au kwenye sherehe mpeane lift ya gari

6. WANAUME ni rahisi kudhaminiana kwenye kesi ila wanawake rafiki yake akikamatwa tu anaweza hata kumkana kabisa wala asiende hata kumjulia hali au kumdhamini polisi au mahakani yaani unafiki wa wanawake mkubwa

Haya ni baadhi katika mengi ambayo wanaume wanayo ila wanawake wengi hawana na nidra sana kuyaona kwenye maisha yako yakifanyika.
Mwanamke anaweza kuwa na pesa ila hawezi kukuongezea palipopunguka zaidi atakuja baada ya nusu saa kukuomba pesa


Unaweza mwambia mwanamke hii pesa ya mtaji lakini baadae atakuomba pesa ya kusuka wakati una ya mtaji tu.



Mwanamke pekee anayeweza kukusaidia na kukuonea huruma ni mama Yako tena aliyekulea kwa udi na uvumba


Mwanamke ukipanda gari yake lazima ununue mafuta wakati ya ngu Huwa anapanda bur

Mwanamke ana biashara kubwa lakini huoni impact yake kwenye familia mpaka awe single
 
sema nasisi wanaume tumezidi ukatili kama lile jamaa linajiita li bartazar wa shinyanga alichokifanya ni upumbavu, mara mtu anaenda kudinya mtoto wake haya matukio ya hivi yananikera sana yani hapa natamani hata kuandika tusi zito mno!, muda mwengine nasisi wanaume tunamatukio yakikengekenge sana!.
Wewe andika tu ban haiui
 
Yaan unajitutumua nakunywa Fanta kuna mwenzio alilishwa Biscuts zinaitwa 'Cookie' kumbe ni zile zinazotengenezwa na Bangi ya kusaga na kupika alilala fofofo akakombwa mpaka raba zake watu wakapita nazo laptop simu anakuja kuamka watu walishashuka zamani sana anacheck miguu hana viatu
Tukana nikupe ban
 
sema nasisi wanaume tumezidi ukatili kama lile jamaa linajiita li bartazar wa shinyanga alichokifanya ni upumbavu, mara mtu anaenda kudinya mtoto wake haya matukio ya hivi yananikera sana yani hapa natamani hata kuandika tusi zito mno!, muda mwengine nasisi wanaume tunamatukio yakikengekenge sana!.
Tukana nikunyooshe
 
Back
Top Bottom