Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu,

Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.

Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?
 
Mhh hakuna kitu kama hicho mkuu mbona wanawake wengi sana sokon wanaume wapo pia ila asililmia kubwa ndo wanunuzi japo kua wanaume wapo pia au mwenzetu utuambie znz sehem gani maana darajan nfo usiseme wanawake walivojaa
 
Kusemaje unataka kutuambia wanaume wote wa zenji wamelishwa limbwata au
 
Mhh hakuna kitu kama hicho mkuu mbona wanawake wengi sana sokon wanaume wapo pia ila asililmia kubwa ndo wanunuzi japo kua wanaume wapo pia au mwenzetu utuambie znz sehem gani maana darajan nfo usiseme wanawake walivojaa

ingia darajani sokoni
 
Mkuu darajan kote hadi ndani mi nshaingia wapo baadh sana wanaonunua sana sana samaki tu wanaume wa zenj huwa wanapenda kwenda kuchagua samaki wawapendao wao anaona akimpa mwanamke atapewa samak kawaida ambao hawawataki wao
 
Mkuu darajan kote hadi ndani mi nshaingia wapo baadh sana wanaonunua sana sana samaki tu wanaume wa zenj huwa wanapenda kwenda kuchagua samaki wawapendao wao anaona akimpa mwanamke atapewa samak kawaida ambao hawawataki wao

halafu hawa wanaume wanapenda sana kutembea peku peku sijui kwa nini?
 
Ndo walivozoea wazenji.Mwanamke ni wz kuletrwa kila kitu nyumbani na hatoki nje na wana wivu sana hso wazenji, mtu waweza kuea na urafiki naye lakini katu hakukaribishi nyumbani uione familia yake kama huku Tanganyika.Mwisho wa karibu ni pale kwenye urojo Darajani
 
tupia picha tumalize ubishi mkuu

hapa ndo mnaniacha hoi tu.

kuhusu wanamme kwenda sokoni, ni utaratibu wa waislam kulinda wake zao. wanahisi mwanamke kwenda sokoni mwishowe atamegwa.

sikia kumegewa kwa jirani isikukute. hivyo ni wivu tu
 
Wanaume wakizanziberi wanajua kudekeza wanawake, wanajua umuhimu wa mwanamke hadi raha, hivi mwanaume anayejali kiasi hicho mwanamke hata akili ya kuchepuka anatoa wapi,

sio wa bara wajeuriiiiiiii wababeeeee wanaboreeeeeee hela zenyewe za mawazo, unakuta mwanamke unamenyeka masaa 18 bado hayo masaa 6 mtu anataka unyumba lol,

Hahahahahahah!! wababe piteni tu msiniquote tafadhali Uuuuuuuuuuuu!! hihihhihihihihihi!!
 
Wanaume wakizanziberi wanajua kudekeza wanawake, wanajua umuhimu wa mwanamke hadi raha, hivi mwanaume anayejali kiasi hicho mwanamke hata akili ya kuchepuka anatoa wapi,

sio wa bara wajeuriiiiiiii wababeeeee wanaboreeeeeee hela zenyewe za mawazo, unakuta mwanamke unamenyeka masaa 18 bado hayo masaa 6 mtu anataka unyumba lol,

Hahahahahahah!! wababe piteni tu msiniquote tafadhali Uuuuuuuuuuuu!!hihihhihihihihihi!!/QUOTE]

umewachokoza ngoja waje hapa utakoma
 
hapa ndo mnaniacha hoi tu.

kuhusu wanamme kwenda sokoni, ni utaratibu wa waislam kulinda wake zao. wanahisi mwanamke kwenda sokoni mwishowe atamegwa.

sikia kumegewa kwa jirani isikukute. hivyo ni wivu tu

Sio wivu bali ni kumuepusha na vishawishi,, uislam umempa mwanamke darja ya juu sana kulinganisha na mwanamume,, hivyo hao wanamume mnaowaona masokoni wakinunua mahitaji ya nyumbani ni miongoni mwa majukumu ambayo mwanamume yambidi ayatekeleze kwa familia yake. Tukiachilia mbali hilo mwanamume anawajibu pia wakumsadia mkewe shughuli mbalimbali za nyumbani ikiwemo kupika, kufua n.k.
 

Attachments

  • 1427819441127.jpg
    1427819441127.jpg
    26.1 KB · Views: 814
umewachokoza ngoja waje hapa utakoma

Na wakuje tu, wao wanafikiri ubabe, kiburi ndio siraha ya mapenzi, muke anatakiwa adekezwe atii, ajaliwe ndio utaona raha ya mapenzi, ila limpenzi linakupeleka mkiki mkiki kama tupo jeshini hadi ukiliona unakasirika si shida hiyo.
 
Na wakuje tu, wao wanafikiri ubabe, kiburi ndio siraha ya mapenzi, muke anatakiwa adekezwe atii, ajaliwe ndio utaona raha ya mapenzi, ila limpenzi linakupeleka mkiki mkiki kama tupo jeshini hadi ukiliona unakasirika si shida hiyo.

kwa hiyo bora waende sokoni tu
 
Sio wivu bali ni kumuepusha na vishawishi,, uislam umempa mwanamke darja ya juu sana kulinganisha na mwanamume,, hivyo hao wanamume mnaowaona masokoni wakinunua mahitaji ya nyumbani ni miongoni mwa majukumu ambayo mwanamume yambidi ayatekeleze kwa familia yake. Tukiachilia mbali hilo mwanamume anawajibu pia wakumsadia mkewe shughuli mbalimbali za nyumbani ikiwemo kupika, kufua n.k.

Kwa kweli mpo vizuri sana kwa hilo, nawapenda bure
 
  • Thanks
Reactions: mrm
Back
Top Bottom