Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

Huu ni mfumo dume wa kuaminika huko visiwani na wivu uliopindukia wa watu wa huko
 
Kuna matatu 1.imani yao 2.wivu 3.ubhahili,hata kuna baadhi ya wana ume wa bara anaenda sokoni kununua kila kitu ili tu usiguse hela yake ,anajua chenjichenji zinaeeza baki usimrudishie
 
kwa hiyo bora waende sokoni tu

Sio kwa wazenji kwenda sokoni ndio wanajali, ila ukweli maisha yao kwa ujumla wanamjali mwanamke, wajua mwanamke ni chombo cha kumstarehesha, ivo uhakikisha muda wote mwanamke anakuwa katika hali nzuri.
 
Mwanamke was kizenji kila wakati anataka anukie harufu nzuri mwilini mwake kama UDI na sio kujisikia ananuka jasho La kikwapa na ndio maana hawaendi sokoni
 
Sio kwa wazenji kwenda sokoni ndio wanajali, ila ukweli maisha yao kwa ujumla wanamjali mwanamke, wajua mwanamke ni chombo cha kumstarehesha, ivo uhakikisha muda wote mwanamke anakuwa katika hali nzuri.

Ha ha haaa! umenena.
 
Wazenji lazima wanaume wafanye kazi kama hizo kwa sababu huyo mwanamke WA kufanya kazi ngumu anatoka wapi? Wakati usiku mzima halali mwanaume Yuko juu wanazalishwa wstoto kama ngazi mama mkwe anasimamia pambano kila mwaka anataka mjukuu mpya, halafu nyie wanawake WA zenji mnaoishi pembezoni mwa bahari, muwe mnawaambia mabwana zenu wawe wanachimba vyoo muache kuacha kutu ufukweni mtu Ni afya.
 
Wazenji lazima wanaume wafanye kazi kama hizo kwa sababu huyo mwanamke WA kufanya kazi ngumu anatoka wapi? Wakati usiku mzima halali mwanaume Yuko juu wanazalishwa wstoto kama ngazi mama mkwe anasimamia pambano kila mwaka anataka mjukuu mpya, halafu nyie wanawake WA zenji mnaoishi pembezoni mwa bahari, muwe mnawaambia mabwana zenu wawe wanachimba vyoo muache kuacha kutu ufukweni mtu Ni afya.

makubwa haya
 
fafanua mkuu

Mkuu c kwenda sokoni tu, shuhuli zote za usumbufu na kutumia nguvu, haturuhusu afanye mwanamke, mfano kubeba maji kutoka kisimani au bombani, kumlimisha kwa wale wanaoishi vijijini na kazi zote za usumbufu
 
Back
Top Bottom