Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo suali uliza ukiwa zanzibar tutakupa jibuHivi Zanzibar kuna wanaume kweli?
Wakuu,
Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.
Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?
Wakuu,
Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.
Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?
Ndio hao hao wameipiga chini kidume CCM zaidi ya Mara tatu!Hivi Zanzibar kuna wanaume kweli?
True datNdio hao hao wameipiga chini kidume CCM zaidi ya Mara tatu!
Kama wewe unashangaa wanaume wa Zanzibar kwenda sokoni kukunua chakula cha family yake basi na mimi pia nashangaa kuona wana wake wa bara nakwenda bar kunywa pombe!!!Wakuu,
Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.
Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?
Give them your sisters!!!!Hivi Zanzibar kuna wanaume kweli?