Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

Darajani Wanawake kibao , Kwereke Wanawake kibao hapo soko la Saateni Wanawake kibao. Wewe ulienda soko lipi?!
 
Wakuu,

Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.

Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?

LUKELO.......

Ulienda somo lipi?
Maana darajani Wanawake kibao , soko la Mwanakwerekwe Wanawake kibao.....hata haka kasoko cha Saateni hapo Wanawake kibao!!!!
 
Wakuu,

Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.

Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?

We Lukelo Sakafu.....
Ulienda somo gani?
Maana Darajani Wanawake wa Kizanzibari wamekaa kibao; ukienda somo la Mwanakwerekwe Wanawake kibao; hapo Saateni hapo Wanawake kibao!
Tena sio wanunuzi tu hawa wauzaji wapo Wanawake....
 
Navyopenda kwenda sokoni ningeweza kweli kukaa tu ndani?Sidhani
 
Wakuu,

Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.

Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?
Kama wewe unashangaa wanaume wa Zanzibar kwenda sokoni kukunua chakula cha family yake basi na mimi pia nashangaa kuona wana wake wa bara nakwenda bar kunywa pombe!!!
 
Back
Top Bottom