GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
wazenji wanawaza sana ngono na kuzaliana mwanamke usiku halali anapigwa mambo so mchana ni muda wake wa kupumzika
Ndo mwanamme, si wake zetu? Tafuta basha na wewe ukeshe nae 😝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazenji wanawaza sana ngono na kuzaliana mwanamke usiku halali anapigwa mambo so mchana ni muda wake wa kupumzika
Khaaa sasa mke ni kukaa na kupewa dozi tu,si utachoka na huo mkwaju...labda mseme.mnaenda wote sokoni na mnapika wote etc
Hao niwazembe hawaji shugulish.haiwezekani mwanaume uwe bizy update mda Wa kwenda sokoni
Hayo ndio mafundisho ya ustadh mwamedi the pedophile.Ndo mwanamme, si wake zetu? Tafuta basha na wewe ukeshe nae 
mito hapo kwa red ni kiboko.
mimi saa hii nipo kwa boti naelekea huko sasa unanikatisha tamaa tena, wacha nishuke njiani nisubiri boti inayorudi.
ahaaaaa usishuke bana! nenda kapate urojo kwanza ndo urudi kusoma komenti yangu vizuri
nimeona nikujulishe yaliyoko nyuma ya pazia manake umewasifia sana kwa hiyo pweint moja ya kubeba vikapu vya sokoni
Mi nimeishi zenji 2 yrs so nawajua sana
Wanaume wakizanziberi wanajua kudekeza wanawake, wanajua umuhimu wa mwanamke hadi raha, hivi mwanaume anayejali kiasi hicho mwanamke hata akili ya kuchepuka anatoa wapi,
sio wa bara wajeuriiiiiiii wababeeeee wanaboreeeeeee hela zenyewe za mawazo, unakuta mwanamke unamenyeka masaa 18 bado hayo masaa 6 mtu anataka unyumba lol,
Hahahahahahah!! wababe piteni tu msiniquote tafadhali Uuuuuuuuuuuu!! hihihhihihihihihi!!
Ni jins mnavyoish tu wnyw me sokon naenda watt naogesha wkt mwngn namsaidia kupika kubeba mimba tu nimeshndw kumsaidia.jaman mapenz kusaidiana ndo yananogaWakuu,
Ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndio wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.
Mkuu unaonaje huu utaratibu huu je mpaka huku bara?
We dini hairuhusu we kwenda sokoni?!Ndo mafundisho ya dini yao.
We dini yako hairuhusu we kwenda sokoni?!
Kwan hujui au unajitoa ufahamu kwamba Mtume(S.a.w) alikua hapendi wanawake wajae masokoni(kwa kuhofia machafu ya zinaa) na hiyo ni moja ya dalili za KIAMA......WANAWAKE KUJAA MASOKONI.We dini hairuhusu we kwenda sokoni?!