Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

Wanaume kwenda Sokoni: Ni moja ya maajabu ya Zanzibar

wakuu ukienda zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndo wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. ukienda zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.mkuu unaonaje huu utaratibu uje mpaka uku bara?

Na wangapi wanamfuatilia mkeo kama leo kaenda sokoni au dukani mara ngapi? Wangapi wanamfuatilia mkeo kama kama leo kavaa nguo gani na kavaa chuppi au hajavaa?? ..acha kufuatilia maisha ya watu na wake zao mind your own business. I mean take care ur black bit.ch..ya ngoswe mwachie ngoswe
 
wakuu ukienda zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndo wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk. ukienda zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.mkuu unaonaje huu utaratibu uje mpaka uku bara?

Hao niwazembe hawaji shugulish.haiwezekani mwanaume uwe bizy update mda Wa kwenda sokoni
 
Hayo ndo maisha halisi....yaan mwanaume aumie sana kutumikia penzi lake kwa mkewew....na mke au available kumhakikishia tress free love....ni ukweli usiopingika kama mume na mke wote mna stress za kazi....mapenzi mtayaskia tu kwa jirani....hii haina maana hamwezi kuishi..kwa ndoa safi....ila ni kuwa...vionjo vingi sana ....vyenye ladha hasa ya mahaba mtavikosa....wazanzibar nawapa heko sana.....jipeni raha....
 
Na wakuje tu, wao wanafikiri ubabe, kiburi ndio siraha ya mapenzi, muke anatakiwa adekezwe atii, ajaliwe ndio utaona raha ya mapenzi, ila limpenzi linakupeleka mkiki mkiki kama tupo jeshini hadi ukiliona unakasirika si shida hiyo.

Umesema kweli kabisa,na vipi ule unyumba wa chooni kule.ebu tupe ukweli
 
Sio wanzanzibar ndio wenye hiyo tabia mbona mie huo ni utaratibu wangu na wala sina asili ya huko

Haya ni mazoea kama umepitia kwenye mfumo huu kuanzia kwa wazazi wako jambo hili wala hautaliona gumu binafsi napenda sana mahitaji ninunue mie sokoni wife atulizane tu home na hivi ndivyo ninavyofanya
 
Wanaume wakizanziberi wanajua kudekeza wanawake, wanajua umuhimu wa mwanamke hadi raha, hivi mwanaume anayejali kiasi hicho mwanamke hata akili ya kuchepuka anatoa wapi,

sio wa bara wajeuriiiiiiii wababeeeee wanaboreeeeeee hela zenyewe za mawazo, unakuta mwanamke unamenyeka masaa 18 bado hayo masaa 6 mtu anataka unyumba lol,

Hahahahahahah!! wababe piteni tu msiniquote tafadhali Uuuuuuuuuuuu!!hihihhihihihihihi!!

umeshapigwa chupi usoni sio bure!! Wewe unaenda sokoni watu wanamega huku nyuma!! Mwanamke hatekwi kwa kudekezwa kiboya acha uzuzu! Utakuwa under 25 wewe!
 
Hayo ndo maisha halisi....yaan mwanaume aumie sana kutumikia penzi lake kwa mkewew....na mke au available kumhakikishia tress free love....ni ukweli usiopingika kama mume na mke wote mna stress za kazi....mapenzi mtayaskia tu kwa jirani....hii haina maana hamwezi kuishi..kwa ndoa safi....ila ni kuwa...vionjo vingi sana ....vyenye ladha hasa ya mahaba mtavikosa....wazanzibar nawapa heko sana.....jipeni raha....

we mzanzibar wewe nimekung'amua!
 
Wakuu ukienda Zanzibar jambo kubwa litakalokuacha kinywa wazi ni hili la wanawake hawaruhusiwi kwenda sokoni isipokuwa ni wanaume tu ndo wanaoenda sokoni kununua mahitaji kama nyanya,vitunguu.nk.

Ukienda Zenji sokoni utawaona wanaume kibao wana vikapu vikapu.

Mkuu unaonaje huu utaratibu uje mpaka huku bara?

Huo nice mfumo wa maisha. Hata wao wakija bara wanashangaa kuona akina mama wakienda sokoni.
 
Ama kweli akili yako haina akili . unapenda vyakuiga utadhani kasuku mwishowe utaiga na kunanii
 
kwanini wende sokoni wakanuka vumba, wakati wanatakiwa wabaki nyumbani wanukie udi na uturi?
hujui sokoni kuna kila aina ya fitna?

Lkn kwa kuchonga na mipasho ke wa kizenji nimewavulia kofia angalia Leo bunge LA katiba du balaa
 
Kwani Anaehemea Nyumbani Huwa Ni Mama Au Baba?Hata Mimi Naupenda Utaratibu Wao Unapunguza Chance Za wanawake Kuzurula!
 
Back
Top Bottom