Wanaume Madomo Zege Bado Wapo?!

Wanaume Madomo Zege Bado Wapo?!

Leo nimeona niulize watz wenzangu dunia nzima wanasoma jamii forum

Miaka ya 1995, nilipataga mabwashee 2, walikuwa wananipenda sana alafu wanajuana

Jaman me sio malaya wala muhuni me mwanamke wa shoka jembeee Malkia wa nguvu, hata Yesu alisema zijaribuni kila roho so nikawaweka kila bwashee kwenye majaribu

Bwashee 1: alinipenda sana ila alikuwa mdogo kwangu kwa miaka 5.. akanizoea kama dada dada kumbe dada mdomoni, akaona kuniingia kunitongoza hawezi, akawa ananitumia wanaume watu wazima (gonjwa langu), basi akiwaleta wengine wanavurundaaa, mechi sitoii nawaektia wanaenda kumlalamikia mwanamke mwenyewe hajisomi miguu hafungui

Akanitaftia bwashee wa mwisho, alikuwa mkubwa kwangu miaka 15, huyu jamaa alinipenda Hatarious na mie nikamkubali vbaya mno, akawa yupo tayar kuniona, siku anatangaza nia bwashee no 1 akaja juu oh me huyu demu wangu na nene me natoa macho siri ikatoka ngumi zikapigwaa me nikawaachia wasamaria wema wawaamue

Kiukweli sikuwahi kuwaona wale watu tena sijui waliishia wapi, me nikaolewa na bwana mwengine, ila we keep intouch kwa simu (hehe afu wapo huku wanasoma)

Swali langu kwa wana JF ivi wale wanaume madomo zege bado wapo?!
Wanaokupenda kwa mbali ila kukutamkia hawawezi?!


Siku hizi hatutongozi, pesa inaongea..
 
Me nahisi ndo domo gundi kabisa, nimekumbuka kipindi tunacheza kombolela nikajaribu tongozo kwa kabinti kamoja, Ile nimemaliza tu tongozo mwili mzima ulikua umeloa jasho na kuzimia juu.. Kuja kuzinduka ni asubuhi.. Mpaka Leo sijawai kutoa tongozo kwakweli.
 
Yaani I remeber rafiki yangu mmoja aliambiwa nakosa usingizi nakuwaza wewe tu, nilicheka mpaka nkadondoka chini alikasirika balaa.
vp wewe hajawahi kukufuata mtu anakuambia maneno hayo, au bila wewe hawezi kuishi?
 
Nikinywa maji nakuona kwwnyw glass. Nilimkataa nikajua ni mchawi. Unanionaje kwa mfano!!! Ghkaaaa ndukiii[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ungemsikiliza vizuri ungemuelewa tu.Kila mtu huwa na gia yake ya kuanzia. ukiona anazunguka kwanza mwambie tu aseme anachotaka
 
Ulichokiandika ndani na heading haviendani mpka xaiv cjaelewa ni bangi aina gan unayotumia?
 
WAPO MKUU TENA WANAZIDI KUONGEZEKA KUTOKANA NA VYAKULA KAMA CHIPS NA KUKU WA KIZUNGU
 
Back
Top Bottom