Hahhaaaa, Aisee mimi nauliziaga bei ili nijue namchangia Magufuli na serikali yake sh ngapi. Nikikuta naichangia serikali yagu tukufu pesa kidogo, Basi naondoka hiyo hoteli naenda tafuta hoteli ambayo nitachangia pesa nyingi.
Unapomtoa out mwanamke mpeleke mahali ambapo unajua kabisa hata ale/anywe nini utakuwa na uwezo wa kulipa.
naomba nambo yako Emmy, walai nitapigaHahaaaa. Nimecheka sana.
Walio wengi watapita kimya kimya. Ila wanaume muwe mnapiga jamani pale mnapoomba namba na mkafanikiwa kupewa
Nilikuomba ukala kona, ungenipa ningeshakupigia zamani tuLakini unajua nyie huwa mnaomba kisha mnasave haoo mnaondoka.
Kwa hiyo namba zenu tunakua hatuna.
MAG ndo nn?Siyo mimi jamani nimezungumza kwa niaba ya wanawake wanaoumia kimya kimya mimi ni MAG.
Ni sawa. chagua wewe sehemu ya kumpeleka ili uendane na mfuko wako.Sasa mfano ndo unakuta kipindi upo njema umehangaika weeee kutaka kumtoa out anachomoa. Siku ya siku anaomba yeye mwenyewe out, Halafu anakuwa kama kakupiga counter attack vile, anakukuta mbuni nyeusi huna mfukoni, kukataa kumwambia kuwa atafute siku nyingine huwezi. Mwanaume unajitosa mzimamzima, Kwani kitu gani bwana.???
Sasa mfano ndo unakuta kipindi upo njema umehangaika weeee kutaka kumtoa out anachomoa. Siku ya siku anaomba yeye mwenyewe out, Halafu anakuwa kama kakupiga counter attack vile, anakukuta mbuni nyeusi huna mfukoni, kukataa kumwambia kuwa atafute siku nyingine huwezi. Mwanaume unajitosa mzimamzima, Kwani kitu gani bwana.???
we nawe unapataga vimeo ! au unapata wanywa pombe /au wapenda starehe !mie sijui naombaje hyo out kwa men jaman khaaaaaaaaa
Ngoja nije pm kuchukua namba [emoji124][emoji124][emoji124]we nawe unapataga vimeo ! au unapata wanywa pombe /au wapenda starehe !mie sijui naombaje hyo out kwa men jaman khaaaaaaaaa
Naomba namba yako basiHahaaaa. Nimecheka sana.
Walio wengi watapita kimya kimya. Ila wanaume muwe mnapiga jamani pale mnapoomba namba na mkafanikiwa kupewa
Kheeeee.....!!!hahaahahahahahahahahaha aibu sana ndo hawa unaenda nae hotelin anauliza bei kwa nusu saa zima mnauliza tu bei !khaaa! we km una mwanamke we fika agiza msos na vinywaj pigeni masuala ya kusema heinken kubwa sh ngapi yaishe jaman! we agiza kunywa PAY THE BILLS