MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Hahhaaaa, Aisee mimi nauliziaga bei ili nijue namchangia Magufuli na serikali yake sh ngapi. Nikikuta naichangia serikali yagu tukufu pesa kidogo, Basi naondoka hiyo hoteli naenda tafuta hoteli ambayo nitachangia pesa nyingi.
mie huwa naona kero! kuna sk mkaka mmoja akaishiwa 500 akaniambia mbiti ongezea hapa (hapo tupo kwa daladala wanachuo) !heee fika hotelini aliuliza bei ya koka na pepsi! nilipomaliza kunywa soda huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo