Stiffler88
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 158
- 504
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Kumbe mzoefu enhee [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Sasa kama unayoo mbona usinipigie siku zoote hizo... Acha zereu, ujue nilikupa kwa heshimaBado ninayo, ingawa ulinimimina kama uji..... kwakweli namimi ni mvumilivu sana hun.....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
naomba namba yako [emoji56] [emoji56] [emoji56] nikupigieHahaaaa. Nimecheka sana.
Walio wengi watapita kimya kimya. Ila wanaume muwe mnapiga jamani pale mnapoomba namba na mkafanikiwa kupewa
Haaaaaaaa...Huu ni mwanya mkuu....[emoji2] [emoji2]
Hii kitu inanifanya nang'oa totoz zaidi ya Lemutuz.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahaha hizo balimi zilizopendwa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji1]Yaani ungekuwa karibu ningekununulia balimi moja.
Umenifurahisha,wimbo wa taifa. [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hahah
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Hahaha hizo balimi zilizopendwa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji1]
Duhh....Sasa kama unayoo mbona usinipigie siku zoote hizo... Acha zereu, ujue nilikupa kwa heshima
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Usinibanie ujuwe![emoji12] [emoji1]