Stiffler88
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 158
- 504
dah ivi kumbe huwa inawaumiza tusipopiga, basi msiwe na madoido tukiwaomba kuzitoa maana kuna wengine ukimuomba namba atakuletea poziii an minato kama asali hadi akija kukupa mood ishakata. ukweli n kwamba nkimuomba namba mdada af akanambia nipe ya kwako najua n maana nyingine ya kusema sitaki.