Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.

Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.

Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba, inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.

Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.

Please remember to call back.

4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg



Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
Daaah!

Sikuwahi kujua hii kitu.
Kumbe tukiwaomba namba tukasahau kupiga inawachosha kungoja!?
Aisee.
Nimejifunza kitu.

Jumapili kuna mdada niliomba namba yake akanipa.
Sijakumbuka kumpigia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana nitakaribia tena kula raha za mtaani kwenu [emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji106]

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Na mwili wangu huu hata sichoki kukimbia kwa kweli. Zimefika salamu karibu tena na wao wanakupenda pia.

[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Shukrani sana nitakaribia tena kula raha za mtaani kwenu [emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji106]

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
Usijali BAK weye tena.

[emoji87] [emoji87]
 
Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.

Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.

Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba, inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.

Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.

Please remember to call back.

4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg



Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeh hii kiboko nimependa hapo mwisho.
 
pale unaposubiria msg za tigopesa na ukijua naira kadhaa soon zitaingia kwa account for the weekend lakini msg zinazoingia ni..

sms1 TIGOPESA: "ndugu mteja tafadhali tunza na hakikisha namba yako ya siri haijulikani na mtu mwingine."

sms2 Tigopesa: "ndugu mteja hakikisha unanunua luku mapema mafundi watakua wanashughulikia mitambo huduma ya tigopesa haitakua hewani kuanzia saa 6:00pm.

sms3 Tigopesa: " ndugu mteja mafundi wameshakamilisha tatizo la kiufundi hivyo huduma ya tigopesa ipo hewani kwa sasa."

sms4 Tigopesa:"umepokea tshs 300 kutoka tigo gawio,salio lako ni tshs 335.

sms5 Tigopesa:"ndugu mteja Tigo inakukumbusha kulipa deni lako la tar 20/8/2017 lipa mapema ili uendelee kufurahia huduma zetu".

kwa mfululizo wa msg kama hizo hadi siku inaisha lazma uvunje sim.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom