Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Daaah!

Sikuwahi kujua hii kitu.
Kumbe tukiwaomba namba tukasahau kupiga inawachosha kungoja!?
Aisee.
Nimejifunza kitu.

Jumapili kuna mdada niliomba namba yake akanipa.
Sijakumbuka kumpigia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana nitakaribia tena kula raha za mtaani kwenu [emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji106]

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Na mwili wangu huu hata sichoki kukimbia kwa kweli. Zimefika salamu karibu tena na wao wanakupenda pia.

[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Shukrani sana nitakaribia tena kula raha za mtaani kwenu [emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji106]

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
Usijali BAK weye tena.

[emoji87] [emoji87]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeh hii kiboko nimependa hapo mwisho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…