Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Mizinga baada ya call ya Kwanzaa. Dia nadaiwa kodi 3m hapa sijui itakuaje wangu
 
kuomba namba ni kanuni ila kipiga ni uamuzi.
yani ukae na ME saa nzima mnapiga stori asiombe namba basi jua we unamkosi.
 

Unapajua Nanyupu Mozambique?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujumbe umefika
 

Vizinga 2 hpo
 
Hii huwa inatokea na sababu ni kwamba unaweza ukawa umemzimika MLIMBWENDE ghafla, na akakupa NAMBA yake ya SIMU lakini mkishaachana eneo la tukio, Akili nayo inabadilika na kuamua kupotezea, ikipita Siku mbili tatu na namba yenyewe unaifutilia mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…