Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Ukiona hujapigiwa simu ya kuitwa kwenye interview japo ulitoa namba ujue hujakidhi vigezo vinavyotakiwa...
 
Mpigie ww umkumbushe yaelekea ulimwelewa, Usiogope
Inakera hii. Nimeshasema ntakutumia, lakini muda wote unapiga kukumbushia na kutuma sms bila kuchoka, hawa watu sijui wakoje. Ukiahidi Tu, inakuwa ni deni.
 
Punguzeni mizinga...
 
Wanakuwa wanaogopa mizinga,mala tuma nayakutolea,sijala,Kodi ya nyumba imeisha
 
Je hiyo ilikuwa zama zile vyuma vikipo kazwa au mpaka sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…