Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Kuna jamaa yangu hapa ananiambia kuwa

Sometimes huwa wanawaomba namba ili msijisikie vibaya maana huwa mnawatamani mno.
 
Tukipiga majina mnayotusave sasa, mara matako, mara shetani, mara faru john duh
 
Ni pm namba yako ya simu. Haki ya mungu mm nitakupigia
 
Niletee # yako PM nikupigie mrembo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ujaolewa tuuh..! Ilikuwa unasaka mchepuko mmhh...!

Street teacher
 
Pow tumekuelewa
naomba no yako basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini unajua nyie huwa mnaomba kisha mnasave haoo mnaondoka.
Kwa hiyo namba zenu tunakua hatuna.
Nenda pm nimekuomba namba uchague kuacha yako au unipigie...! Nitaleta mrejesho hapa km nyie huwa mnatimiza seriously..[emoji125][emoji125]

Street teacher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…