Akiwa wa ukweli, haitafika mda wa kulala afu usipigiwe.
aya! nipe sasa bt kuleteh teh !usipopiga nakublock teh
Nimeshaolewa mkuu,Mkuu ujaolewa tuuh..! Ilikuwa unasaka mchepuko mmhh...!
Street teacher
Picha yangu iko jukwaa la picha kule.Mtoa mada naomba utume picha yako ukiwa umesimama lakini pia ambatanisha na namba ya simu ili nikupigie, nina hakika utaondokana na hii kero.
Sent using Jamii Forums mobile app
you're right dude!Sometimes ni kutaka kutengeneza database ya phone book ya wanawake tu na sometimes ni mambo ya kiutafiti zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole nilitaka nishangae make weye ni mkongwe wa hapa jf, ningekuona mzembe sana..! Kushindwa kumng'ang'ania ata babu Asprin..[emoji125][emoji125]Nimeshaolewa mkuu,
Hapana sisaki mchepuko ndo maana nikaanza "enzi zangu"
Hapa nagusia zaidi wanawake wenzangu ambao wanakereka na hii tabia kwa kuwa na mimi ilishawahi kunikera huko nyuma.
hahah,,, niko hapa kwa wakala nataka kutuma ila anasema hana float... 🙄😀😛 sijui ndiyo mdudu gani anaitwa float..yani halafu kuna mtu kasema anatuma hela mpaka sa hivi simuelewi
nenda kwa mwingine atakuwa na flothahah,,, niko hapa kwa wakala nataka kutuma ila anasema hana float... 🙄😀😛 sijui ndiyo mdudu gani anaitwa float..
Nakusubiri any time [emoji56] [emoji56][emoji124] [emoji124] [emoji124]
Naomba namba yako basiii, napiga sasa hiviNimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
mhHaaaha imenitokea week lilopita !baba kanifatilia nyuma yangu weeee uwii kwanza lisinipigie tu ! pyee
Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
hahah...nenda kwa mwingine atakuwa na flot
Huenda umekariri vibaya huo ujumbe, nimeomba utume ukiwa umesimamaPicha yangu iko jukwaa la picha kule.
Huyo bazaz hapana...kazeeka ila bado ni kijana saa hizi anakata spring chicken.Pole nilitaka nishangae make weye ni mkongwe wa hapa jf, ningekuona mzembe sana..! Kushindwa kumng'ang'ania ata babu Asprin..[emoji125][emoji125]
Street teacher
Mhh! Alikufanya nini au ndiyo hivyo tukiona manyoa ujue kaishaliwa..! [emoji16][emoji16][emoji16]Huyo bazaz hapana...kazeeka ila bado ni kijana saa hizi anakata spring chicken.