Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Mkuu ujaolewa tuuh..! Ilikuwa unasaka mchepuko mmhh...!

Street teacher
Nimeshaolewa mkuu,
Hapana sisaki mchepuko ndo maana nikaanza "enzi zangu"
Hapa nagusia zaidi wanawake wenzangu ambao wanakereka na hii tabia kwa kuwa na mimi ilishawahi kunikera huko nyuma.
 
Kuna manz mmoja, ana sifa zote nazotaka ila yule mtoto nilichukua namba kila nikipiga hapokei...nikikutana nae physically tunaongea freshi ila nikipanga kumpigia hapokei tena.. We suzy mungu anakuona akiyamama, nikikupata ntakuchakazaaaaa...!
 
Nimeshaolewa mkuu,
Hapana sisaki mchepuko ndo maana nikaanza "enzi zangu"
Hapa nagusia zaidi wanawake wenzangu ambao wanakereka na hii tabia kwa kuwa na mimi ilishawahi kunikera huko nyuma.
Pole nilitaka nishangae make weye ni mkongwe wa hapa jf, ningekuona mzembe sana..! Kushindwa kumng'ang'ania ata babu Asprin..[emoji125][emoji125]

Street teacher
 
Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.


Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg
Naomba namba yako basiii, napiga sasa hivi

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile App
 
Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.


Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg


Haya ndo maneno yao, halafu nikiwaambia mnabisha, haya bwana ....
 
Pole nilitaka nishangae make weye ni mkongwe wa hapa jf, ningekuona mzembe sana..! Kushindwa kumng'ang'ania ata babu Asprin..[emoji125][emoji125]

Street teacher
Huyo bazaz hapana...kazeeka ila bado ni kijana saa hizi anakata spring chicken.
 
Huyo bazaz hapana...kazeeka ila bado ni kijana saa hizi anakata spring chicken.
Mhh! Alikufanya nini au ndiyo hivyo tukiona manyoa ujue kaishaliwa..! [emoji16][emoji16][emoji16]

Street teacher
 
Back
Top Bottom