Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poleni sana tatizo lenu muda mwingine mnalinga sana.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Apige tu hata aulize garage iliyoko na maeneo ya muhusika inatosha.
Shem kumbe bado unalipa!![emoji4][emoji4][emoji4]
ndo hvyo sasa inabidi muendelee kusubiri ndege ferikuringa muhim dogo
Kweli bwana business card muhimu, bora upewe card hlf mwenyewe utajua kama umpigie au la. Kama halipi akikupa mgongo tu unaichana hapo hapo
Kwa business ipi niliyonayo? Teh..hahaha ndo utengeneze na ww !
Mpe ya kwako mkuu pengine atapiga.Dah kuna kabinti cha kisukuma sehemu ninayofanyia kazi yeye ni mwanafunzi, yaani kananitega hako hata haogopi sasa kumuomba namba eti Sikupi.... Wakati wengine tuna namba zao na hatuwatafuti, kweli malipo ni hapa hapa duniani.
sizingui bhana,nilimix tu madude...[HASHTAG]#btw[/HASHTAG] what kind of business is that?hahaha natafuta wadhamini wa kunidhamini biashara yangu !hahaha kule we unazengua
Dah kuna kabinti cha kisukuma sehemu ninayofanyia kazi yeye ni mwanafunzi, yaani kananitega hako hata haogopi sasa kumuomba namba eti Sikupi.... Wakati wengine tuna namba zao na hatuwatafuti, kweli malipo ni hapa hapa duniani.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Kweli bwana business card muhimu, bora upewe card hlf mwenyewe utajua kama umpigie au la. Kama halipi akikupa mgongo tu unaichana hapo hapo
kumbe na ww umobasi ujue good fu.ck hakuna lakini mbwembwe nyingiiiii kha !
sizingui bhana,nilimix tu madude...[HASHTAG]#btw[/HASHTAG] what kind of business is that?
Wanawake wa siku hizi wengi - sio wote- hawaeleweki.Kwa kweli hii mbinu itafaa zaidi.
Dah....umecheki salio lakini?[emoji12] [emoji13] [emoji13]yani halafu kuna mtu kasema anatuma hela mpaka sa hivi simuelewi