Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
alaa hivi kumbe tukukaushaga hua inawaumae eee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swahiba ilikuwaje?? Nliona cheo chako kimebadilika ghafla toka Expert Member mpaka "Banned"Sasa mbona ulikuwa husemi Emmy!? Nasikia eti una sauti nyororo naweza kudata nikagoma kukata simu lol! Haya nimekodoa macho nasubiri hizo digits nikusikie hewani. Usione aibu kuwa mkweli, msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu.
Anhaaaa....Ooohh basi nitakutumia kule
Ukisha kuja kwetu, hakunaga ushemeji tena...Haujui kama wewe ni mume wa dadaangu jamani.
Huku kwetu lazima utangulize shikamoo..
Poah uje kweli Kule maana nmekumiss hatari wifeOoohh basi nitakutumia kule
Malalamiko yako nimeyapata na nikatoa petition sasa unatoa hutoi?Haujui kama wewe ni mume wa dadaangu jamani.
Huku kwetu lazima utangulize shikamoo..
Hahahahhaaa darlingAnhaaaa....
OkayPoah uje kweli Kule maana nmekumiss hatari wife
Wivu sina ila roho inauma...Hahahahhaaa darling
Hahahahhaaaaaaa basi my babu sitarudia tenaWivu sina ila roho inauma...
Mtanikomaje huko maoficn na mtaani!hahhahaah nimecheka jaman
Afadhali....Hahahahhaaaaaaa basi my babu sitarudia tena
Mtanikomaje huko maoficn na mtaani!
Yaan ukinipa salaam tu mi nakusuprise na business card ya ukanjanja!
Sent using Jamii Forums mobile app
mxieee"
Una mkojo wa kutosha??
Shauri zako...
Una mkojo wa kutosha??
Shauri zako...