Wanaume mlio oa na mlio na watoto wa kike wakubwa ( mabinti vigori/li) Hivi jina " Dullah" liliwakosea nini mbona mnali demonize hivyo?

Wanaume mlio oa na mlio na watoto wa kike wakubwa ( mabinti vigori/li) Hivi jina " Dullah" liliwakosea nini mbona mnali demonize hivyo?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kosa jamaa aambiwe " Kaka mkeo alikuwa anaongea na Dullah" yani jamaa hata kama hamfahamu huyo Dullah basi atawaza tu kwamba huyo Dullah anatembea na mkewe.

Atagombana na mkewe na atakuwekea jealousy wewe Dullah.

Unashangaa tu unakutana na mtu barabarani ana kuangalia kwa chuki unabaki unashangaa " Hivi nimemkosea nini mtu huyu Abdallah mimi".

Mwenye mabinti sasa:

Baba : Nyie watoto nani kawanyoa hizo nywele wakati umeme umekatika saluni zote hazifanyi kazi?


Watoto: Tumenyolewa na Dullah dada alimpa dula hela atunyuoe. ( Dada mwenyewe ana miaka 16)

Baba: Unasema!! Anaitwa nani? DULLAH!!! Huyu dada yenu atakuja kunieleza vizuri leo akija.



Akute kwenye simu ya mkewe au bintiye( under 18) amesave jina Dullah basi itakuwa ugomvi na mkewe/ bintiye, Dullah utasumbuliwa kweli.

Amsikie mkewe/ bintiye anaita jina " Dullah" itakuwa kesi kubwa sana hiyo kwa mkewe atanuna hapo hatari...

Hivi sisi wakina Abdallah tumewakosea nini nyinyi ma uncle?


Kama na wewe unae Soma ujumbe huu inaitwa Dullah na unakutana na kadhia hii hebu share comment yako wakina Dullah wote waone.
 
Watu wengi wanakosea Sana bangi, bangi inatumiwa na watu smart kichwani.

Halafu thread yako ungeiweka jukwaa la chitchat at least ingeleta maanam
 
Wapi huko wanakopatikana kina Dula?
Hili ni jina la kizamani kidogo, vijana wengi hawaitwi kina Dula sasa!!
 
Dulla ,hawa kina kevooo😀😀😀😀😃🙂🙂
 
Kosa jamaa aambiwe " Kaka mkeo alikuwa anaongea na Dullah" yani jamaa hata kama hamfahamu huyo Dullah basi atawaza tu kwamba huyo Dullah anatembea na mkewe.

Atagombana na mkewe na atakuwekea jealousy wewe Dullah.

Unashangaa tu unakutana na mtu barabarani ana kuangalia kwa chuki unabaki unashangaa " Hivi nimemkosea nini mtu huyu Abdallah mimi".

Mwenye mabinti sasa:

Baba : Nyie watoto nani kawanyoa hizo nywele wakati umeme umekatika saluni zote hazifanyi kazi?


Watoto: Tumenyolewa na Dullah dada alimpa dula hela atunyuoe. ( Dada mwenyewe ana miaka 16)

Baba: Unasema!! Anaitwa nani? DULLAH!!! Huyu dada yenu atakuja kunieleza vizuri leo akija.



Akute kwenye simu ya mkewe au bintiye( under 18) amesave jina Dullah basi itakuwa ugomvi na mkewe/ bintiye, Dullah utasumbuliwa kweli.

Amsikie mkewe/ bintiye anaita jina " Dullah" itakuwa kesi kubwa sana hiyo kwa mkewe atanuna hapo hatari...

Hivi sisi wakina Abdallah tumewakosea nini nyinyi ma uncle?


Kama na wewe unae Soma ujumbe huu inaitwa Dullah na unakutana na kadhia hii hebu share comment yako wakina Dullah wote waone.
Jana tu mama mtoto wangu nilimtuma akadai pesa yangu kwa mteja mwanamke mwenzie. Jioni wakati ananipa report ananiambia alienda na Dullah.
Moto niliomuwashia anajua balaa lake. Na nikirudi kesi inaendelea.
 
Jana tu mama mtoto wangu nilimtuma akadai pesa yangu kwa mteja mwanamke mwenzie. Jioni wakati ananipa report ananiambia alienda na Dullah.
Moto niliomuwashia anajua balaa lake. Na nikirudi kesi inaendelea.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jana tu mama mtoto wangu nilimtuma akadai pesa yangu kwa mteja mwanamke mwenzie. Jioni wakati ananipa report ananiambia alienda na Dullah.
Moto niliomuwashia anajua balaa lake. Na nikirudi kesi inaendelea.
Dr Matola PhD
 
You have some point, sijaona kizazi hiki watoto wa kiislamu wakipewa Jina la Abdalla.
Si kwa sababu wewe mdini unaishi na wagalatia wenzako wahaya wenzako akina Antidius na Renatus. Hao akina Dullah utawajua saa ngapi.

Halafu wewe ni Dokta PhD au Manyaunyau . Mada yangu inahusu vijana wa kizazi hiki au inawahusu watu wanaoitwa wakina Dullah?
 
You have some point, sijaona kizazi hiki watoto wa kiislamu wakipewa Jina la Abdalla.
Wengi wanapewa majina ya kituruki sijui ya ya wapi, mtu jina bila kurudiwa mara mbili unakosea kulitamka

Abdalla/Dulla ni la kizamani aisee
 
Hata Zuchu alimuimba kwamba Dulla anapenda chapati na nyama tena nyama laini...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom