Hahahahah ataki shida, ukimzingua sana anaona muachane tu maana anajiweza atakwambia tabu za nini huku ni mke wa mtu huyo!Sometime bora kuoa mademu wa kawaida kuliko hawa waliosoma,mwanamke akiwa na elimu au pesa anakuwa ana nyodo kweli,anataka kuishi kama malkia wa uingereza au kim kardashian
Wanawake ni wavivu sana hadi inaboa, yani hasa ukishamuoa ndio anaona kamaliza kazi hajiongezi kwenye sekta nyeti hapo vitaanza visingizio mara kuchoka...mara kazi nyingi na unaweza chunguza anakusumbua ila deepdown kumbe kuna kenge anampaga penzi free huko nje.
Kama title inavyosema,
Wanaume wengi siku hizi mlio kwenye ndoa mnaongoza kwa kulala na wadada wenu wa kazi.
Sasa tunaomba kujua hawa wadada wa kazi wananini mpaka mnafikia hatua ya kuwakosea heshima wake zenu kwa kulala nao tena ndani?
Na mnapokutwa kwanini hamuombi msamaha yakaisha ila mnageuza kibao kwa dada wa kazi na kusema hafai mtafute mwingine?
Nimekereka kweli na jirani yangu leo, jamaa anaonekana mstaarabu baba mtaani lakini kumbe ovyo.
Leo kafumaniwa na mkewe anatembea na dada wa kazi, kazini katoka mapema kwa kisingizio kuwa anaumwa wakati mkewe hajamwambia kama anajisikia vibaya na anarudi nyumbani.
Nimecheka saaana utafikiri mazuri, aiseeWewe miezi 2 mm toka december, ndo nlipiga show ya kueleweka kwenye lami, ila jan nikajaribu kitu haizami, feb vilevile juzi nimefunga safari nikamchomoa bekitatu kwao aliwaaga anaenda kutsfuta chuo mkoani asome cherehani. Mm nikachukua form ya hicho chuo mtandaoni nikaiprint nikanunua bahasha nzuri ya kaki nikaiweka humo. Wazazi meno 35 nje mtoto kakubaliwa chuo. Ada sasa watakoma
Sio wangu tu man, anawakilisha wengi sana wa siku hizi wazembe. Ila mie nimebadili muundo huwa siombi nikijiskia nachukua tu kibabe no democracy anaishia kujichekesha tu mie nala vyangu.
HuhuhuhuAcha wivu wewe mwanamke,mwanamke mwenzako akiambiwa mtamu,unaona wivuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wapo mkuu japo sio wengi ila wapoUnaongea tu. Ila haluna mwanamke anayewea kujidhalilisha kihivyo
Ila siku zote kisichohalali huwa kitamu eti. Angalia tu vitu vilivyokatazwa hata na sheria za dini ndo watu hupenda kukifanya. Sishangai house girl/boy kuwa mtamuHahahaaaa, duuu
Dah situation inakera kinoma noma hio, inabidi abadilike bhana ila response yake imekuwaje mzee. Anaonekana kuelewa au?Mkuu ni jana tu hapa nimetoka kutoa risala kwa wife. Yaani uvivu kupita kiasi hakuna hata mvuto tena wa tendo. Amekuwa baridi sana mpaka kero. Ubunifu zero mashamushamu hakuna yupo kama mzigo tu. Hapo zamani alikuwa moto sana.
Duuu!!!! Kama punda vile!!! Hizi ndoa hiziMimi nilishaacha mambo ya kuandaana baada ya kuona analeta mizinguo. Mimi napanda tu na kumwaga zangu basi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi mwanamke nimemuoa nimetoa na mahari alafu anipangie tendo la ndoa lbda mimsio mimi
True datTatizo linakuja kwa wanawake wa ndoa kujisahau na hasa kule kudharau wajibu wake. Utakuta mwanamme karudi nyumbani baada ya kazi, the first thing anataka kuona ni mke wake anamsalimia kwa unyenyekevu, bahati mbaya unakuta mwanamke naye kaenda kwa mchepuko wake kumpokea na kumtumikia huku majukumu yake ya kindoa kamwachia house girl wake. Baba mwenye nyumba anakuja nyumbani anapokelewa kwa unyenyekevu wa house girl na kumpa pole na kazi. Mwanamme ni kiumbe mpole sana na mwenye huruma, akipokelewa mara mbili namna hii na house girl wake LAZIMA tu atakuwa na mawazo mbadala na suluhisho ni 'Ze Gegedo.' Kisingizio cha kusema kuwa house girl hafai linakuja kama house girl mwenyewe hana mbwembwe kitandani yaani kakaa kama mke wa ndoa, hapa ndipo unamwambia mke kuwa mtafute house girl mwingine huyu uliyenaye hafai, anakiburi sana huku ukichekea bafuni.
Hahaa!!! Naona upo unapambana na ndoa yako mzeeMkuu ni jana tu hapa nimetoka kutoa risala kwa wife. Yaani uvivu kupita kiasi hakuna hata mvuto tena wa tendo. Amekuwa baridi sana mpaka kero. Ubunifu zero mashamushamu hakuna yupo kama mzigo tu. Hapo zamani alikuwa moto sana.
Bora kuoa mwanamke ambaye hajasoma anakuwa inferior na ndo inavyotakiwaHahahahah ataki shida, ukimzingua sana anaona muachane tu maana anajiweza atakwambia tabu za nini huku ni mke wa mtu huyo!
Aiseee!!! Kwenye ndoa kuna mengiSio wangu tu man, anawakilisha wengi sana wa siku hizi wazembe. Ila mie nimebadili muundo huwa siombi nikijiskia nachukua tu kibabe no democracy anaishia kujichekesha tu mie nala vyangu.
Ndoa kwa upande mwingine zinaleta stress sana sasa huyo kenge ukimkamata unaweza ukaua mtuWanawake ni wavivu sana hadi inaboa, yani hasa ukishamuoa ndio anaona kamaliza kazi hajiongezi kwenye sekta nyeti hapo vitaanza visingizio mara kuchoka...mara kazi nyingi na unaweza chunguza anakusumbua ila deepdown kumbe kuna kenge anampaga penzi free huko nje.
Duuu!!!! Kama punda vile!!! Hizi ndoa hizi