Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Sometime bora kuoa mademu wa kawaida kuliko hawa waliosoma,mwanamke akiwa na elimu au pesa anakuwa ana nyodo kweli,anataka kuishi kama malkia wa uingereza au kim kardashian
Hahahahah ataki shida, ukimzingua sana anaona muachane tu maana anajiweza atakwambia tabu za nini huku ni mke wa mtu huyo!
 

Mkuu ni jana tu hapa nimetoka kutoa risala kwa wife. Yaani uvivu kupita kiasi hakuna hata mvuto tena wa tendo. Amekuwa baridi sana mpaka kero. Ubunifu zero mashamushamu hakuna yupo kama mzigo tu. Hapo zamani alikuwa moto sana.
 


Tatizo linakuja kwa wanawake wa ndoa kujisahau na hasa kule kudharau wajibu wake. Utakuta mwanamme karudi nyumbani baada ya kazi, the first thing anataka kuona ni mke wake anamsalimia kwa unyenyekevu, bahati mbaya unakuta mwanamke naye kaenda kwa mchepuko wake kumpokea na kumtumikia huku majukumu yake ya kindoa kamwachia house girl wake. Baba mwenye nyumba anakuja nyumbani anapokelewa kwa unyenyekevu wa house girl na kumpa pole na kazi. Mwanamme ni kiumbe mpole sana na mwenye huruma, akipokelewa mara mbili namna hii na house girl wake LAZIMA tu atakuwa na mawazo mbadala na suluhisho ni 'Ze Gegedo.' Kisingizio cha kusema kuwa house girl hafai linakuja kama house girl mwenyewe hana mbwembwe kitandani yaani kakaa kama mke wa ndoa, hapa ndipo unamwambia mke kuwa mtafute house girl mwingine huyu uliyenaye hafai, anakiburi sana huku ukichekea bafuni.
 
Nimecheka saaana utafikiri mazuri, aisee
 
Acha wivu wewe mwanamke,mwanamke mwenzako akiambiwa mtamu,unaona wivuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huhuhuhu

Na wewe acha wivu wewe mwanaume, mwanaume mwenzio akisemwa ni mtamu basi kiroho kinakuuma😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mkuu ni jana tu hapa nimetoka kutoa risala kwa wife. Yaani uvivu kupita kiasi hakuna hata mvuto tena wa tendo. Amekuwa baridi sana mpaka kero. Ubunifu zero mashamushamu hakuna yupo kama mzigo tu. Hapo zamani alikuwa moto sana.
Dah situation inakera kinoma noma hio, inabidi abadilike bhana ila response yake imekuwaje mzee. Anaonekana kuelewa au?
 
Reactions: mij
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi mwanamke nimemuoa nimetoa na mahari alafu anipangie tendo la ndoa lbda mimsio mimi

Mkuu hata wenzio tulikuwa tunasema hivyo hivyo lakini baada ya kuoa sasa tunakutana nayo. Mwanamke anaweza asikunyime ila action zake wakati wa tendo utgundua tu kuwa hayupo kwenye game. Mfano unaweza kumwandaa hata nusu saa lakini kama hataki K inakuwa kavu kama jiwe.
 
True dat
 
Mkuu ni jana tu hapa nimetoka kutoa risala kwa wife. Yaani uvivu kupita kiasi hakuna hata mvuto tena wa tendo. Amekuwa baridi sana mpaka kero. Ubunifu zero mashamushamu hakuna yupo kama mzigo tu. Hapo zamani alikuwa moto sana.
Hahaa!!! Naona upo unapambana na ndoa yako mzee
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Ndoa kwa upande mwingine zinaleta stress sana sasa huyo kenge ukimkamata unaweza ukaua mtu
 
Duuu!!!! Kama punda vile!!! Hizi ndoa hizi

Mkuu hao viumbe achana nao kabisa. Mwanzoni mwa ndoa wanakuwa wana bidii sana tena utafaidi tendo mpaka raha. Ila wakianza kuzoea maisha ya ndoa utajuta kuzaliwa. Hii ndio maana H/girls wanatumika sana. Wana-Saikolojia wamethibitisha ili mwanamme akili yake iwe fresh lazima afanye mapenzi yaliyoshiba. Pia wakaongeza mtu aliyefanya mapenzi usiku wa kuamkia siku ya INTERVIEW anakuwa na utuivu sana na kujibu maswali kwa umakini zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…