cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Wanaume wengi ni walalamishi ili kutafta kisingizio kuchepuka ujue kihisia wanawake huwa zinakuwa mbali inahtaji kusali na upendo sasa nyie ukute mnawaudhi yeye yuko kimya kachoka, pia huko kuwa kukavu madawa ya uzazi nayo yachangia, ukiona unamchoka mkeo humvumilii ujue hukumpenda vzuri, mbona sie huwavumilia na vibamia vyenu Ku papu hamjui, nyie wanaume jiheshimu aisee namkukueMkuu hata wenzio tulikuwa tunasema hivyo hivyo lakini baada ya kuoa sasa tunakutana nayo. Mwanamke anaweza asikunyime ila action zake wakati wa tendo utgundua tu kuwa hayupo kwenye game. Mfano unaweza kumwandaa hata nusu saa lakini kama hataki K inakuwa kavu kama jiwe.