Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Mkuu hata wenzio tulikuwa tunasema hivyo hivyo lakini baada ya kuoa sasa tunakutana nayo. Mwanamke anaweza asikunyime ila action zake wakati wa tendo utgundua tu kuwa hayupo kwenye game. Mfano unaweza kumwandaa hata nusu saa lakini kama hataki K inakuwa kavu kama jiwe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama jiwe!!!
 
MWANAUME RIJALI HUWA HAPENDI DHARAU KIBURI NA CHUKI ZISIZO NA SABABU!
BEKI TATU HANA VYOTE HIVYO, ILA MAZA HAUZI, UTAZANI KUNA MTU ANASHINDANA NAE!
 
Bora kuoa mwanamke ambaye hajasoma anakuwa inferior na ndo inavyotakiwa
Na wanajua kunyenyekea mume, yani we ndio tumaini lake pekee. Kile kipengele cha utii na heshima wanajua kukitendea haki sana na hawapendi kukuudhi ama kukuumiza kwa namna yeyote. So wanajitoaga kwa lolote as long as we uwe na amani tu.
Ila hawa waliosoma adabu ni zero, yani wanaoelewa ndoa ni taasisi inayojitegemea na kanuni zake ni 30/100
 
  • Thanks
Reactions: mij
Mkuu hao viumbe achana nao kabisa. Mwanzoni mwa ndoa wanakuwa wana bidii sana tena utafaidi tendo mpaka raha. Ila wakianza kuzoea maisha ya ndoa utajuta kuzaliwa. Hii ndio maana H/girls wanatumika sana. Wana-Saikolojia wamethibitisha ili mwanamme akili yake iwe fresh lazima afanye mapenzi yaliyoshiba. Pia wakaongeza mtu aliyefanya mapenzi usiku wa kuamkia siku ya INTERVIEW anakuwa na utuivu sana na kujibu maswali kwa umakini zaidi.
Kweli,inasidia na kuimarisha mfumo wa fahamu pia,unakuwa active kimwili na kiakili,hawa viumbe wana umuhimu bwana,sema ndo hivyo changamoto pia zipo kama hizo
 
  • Thanks
Reactions: mij
Mimi nilishaacha mambo ya kuandaana baada ya kuona analeta mizinguo. Mimi napanda tu na kumwaga zangu basi.
Yeah mizuka kama hamna ndio inavyokuwa hivyo, unapanda kama pikipiki tu unawasha unatembea amna aja ya kusubiri oil ipate moto!
 
Kweli,inasidia na kuimarisha mfumo wa fahamu pia,unakuwa active kimwili na kiakili,hawa viumbe wana umuhimu bwana,sema ndo hivyo changamoto pia zipo kama hizo

Siku boss wa kiume akiwa mkali sana ofisini ww jaribu tu kumdodosa atakwambia mkewe amemzingua kwenye tendo. Hili tendo linaleta sana utulivu mkuu.
 
Endelea nae tu mkuu, hadi atakapo mdedisha mkeo ndio utapata akili
Nimemla beki tatu wangu zaidi ya miaka miwili hadi tumezoeana na wife ametumia njia zote za upelelezi lakini ameshindwa ila tatizo analo moja la wivu ana wivu balaa natamani hata wife afe ili nimuoe yeye kwa sababu sifa zote anazo hasa kwenye 6x6 huwa ninakakunja kanabaki kama tyre bajaji
 
Mke ni nani?Ni mwenza,na kwa mila za kiafrika,anakupikia,anakufulia,anakuwekea maji ya kuoga.Beki tatu ni mke kama anafanya hivyo vyote kwa hiyo akiliwa uroda wala sio cha ajabu kama mke akiona anaumia aondoke tu kwani beki tatu tayari ana mudu kutunza nyumba.Kama hutaki mumeo ale beki tatu basi kaa nyumbani utunze familia ila kama unazurura na kutafuta pesa wakati beki tatu amaetulia nyumbani anakusanya joto na kusafisha mwili wake mpaka ananawiri akiliwa unashangaa nini na kulalamika.

Kama mwananume una beki tatu ambaye ni 18+ halafu haumli sio kwa sababu eti hutaki ila ni ujsiri hauna ama huko nje unapiga sana.

Kwa ufupi BEKI TATU NI MKE MDOGO NA WANAWAKE INABIDI MZOEE NA KUKUBALIANA NA HIYO HALI
 
Kama title inavyosema,

Wanaume wengi siku hizi mlio kwenye ndoa mnaongoza kwa kulala na wadada wenu wa kazi.

Sasa tunaomba kujua hawa wadada wa kazi wananini mpaka mnafikia hatua ya kuwakosea heshima wake zenu kwa kulala nao tena ndani?

Na mnapokutwa kwanini hamuombi msamaha yakaisha ila mnageuza kibao kwa dada wa kazi na kusema hafai mtafute mwingine?

Nimekereka kweli na jirani yangu leo, jamaa anaonekana mstaarabu baba mtaani lakini kumbe ovyo.

Leo kafumaniwa na mkewe anatembea na dada wa kazi, kazini katoka mapema kwa kisingizio kuwa anaumwa wakati mkewe hajamwambia kama anajisikia vibaya na anarudi nyumbani.
Wanaheshima/hawajibu jibu hovyo/hawakubinulii midomo/sio viburi/Na zaidi ya yote wanafanya 98% ya kazi za mke.....So inshort ni kama Mke tu kasoro pete. Maana hiyo 2% no papuchi ambayo pia mama mwenye nyumba hachelewi kukwambia nimechoka na kazi za ofisini subiri kesho n bla bla bla
 
Huwezi kumfunga mbuzi karibu na majani kisha mbuzi kashiba!
 
Humu kwenye hii thread kuna upumbavu mwingi sana, lkn kwa wanawake wenye busara wanachota hekima. Kuna mmoja amefyatuka maneno makali mno yenye matusi. Anasema mwanaume anapohitaji tendo haangalii nafasi au cheo cha mwanamke, ni elimu nzuri sana kwa wanawake wanaopenda ndoa zao zidumu, ziwe na amani na upendo.

Sichangii tena bali nafuatilia yanayojiri.

Vv
 
Mm nimekula beki tatu wangu miaka kama 3 hivi na si kukamatwa, and nlichogundua tu, ni kwamba baada ya kuanza kula beki3, upendo na mke wangu uliongezeka kwani nlimpenda zaidi, pia tukawa hatugombani mara kwa mara maana nlikuwa nawahi kurudi yaan nikitoka tu job narudi home. Maana nlikuwa napenda kuwa karibu na beki tatu wangu. Yaan nlikuwa nikimsikia anacheka, ama anaongea najiskia raha sana. Beki tatu hasumbui ukitaka mzigo yaan anytime, anywhere, in short unapewa hata mara tatu kwa siku. Njia kuu usumbufu mtupu. Kaondoka beki3 wangu saiz kurudi hom mpaka giza liingie
Na cha kushangaza wife na beki3 walikuwa marafiki kinyama yaan wanapendana balaa
hah ha ahaah
 
Mke ni nani?Ni mwenza,na kwa mila za kiafrika,anakupikia,anakufulia,anakuwekea maji ya kuoga.Beki tatu ni mke kama anafanya hivyo vyote kwa hiyo akiliwa uroda wala sio cha ajabu kama mke akiona anaumia aondoke tu kwani beki tatu tayari ana mudu kutunza nyumba.Kama hutaki mumeo ale beki tatu basi kaa nyumbani utunze familia ila kama unazurura na kutafuta pesa wakati beki tatu amaetulia nyumbani anakusanya joto na kusafisha mwili wake mpaka ananawiri akiliwa unashangaa nini na kulalamika.

Kama mwananume una beki tatu ambaye ni 18+ halafu haumli sio kwa sababu eti hutaki ila ni ujsiri hauna ama huko nje unapiga sana.

Kwa ufupi BEKI TATU NI MKE MDOGO NA WANAWAKE INABIDI MZOEE NA KUKUBALIANA NA HIYO HALI
Duh! Ujumbe huu sijui wanawake wameuelewa ipasavyo?
 
Wanawake ni wavivu sana hadi inaboa, yani hasa ukishamuoa ndio anaona kamaliza kazi hajiongezi kwenye sekta nyeti hapo vitaanza visingizio mara kuchoka...mara kazi nyingi na unaweza chunguza anakusumbua ila deepdown kumbe kuna kenge anampaga penzi free huko nje.
Sasa hapo huwa tunawaza watoto tu mengine hayana nafasi nyie binjukeni mtakavyo
 
Huwa inafika wakati natamani labda nisingesoma maana upeo wangu ni mkubwa hakuna sehemu Mr akacheat nisijue hadi najichukia maana stress zingine za hovyo tu
Hizo ndiyo akili sasa miaka 3 mnaishi uke wenza usijue si anaweza akazaa mtoto akatunzwa humo humo usijue akamtaja mkaka asiyekuwepo ukamtunza kumbe niwa mmeo, mwenye akili hata dalili utajua tu unatibua
 
Back
Top Bottom