Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Ada watakomaje? Si ndio umlipie sasa si ndio mke mdogo huyo
Alipe tu sasa kama mtamu unafaidi kwanini asibebe majukumu zaidi ya hapo ni udhalilishaji na kumwaribia tu future mtoto wawatu
 
Unajua ishu unayokumbana nayo wewe yaweza kuwa tofauti kidogo. Pengine mumeo ni mtu wa panic za kiduanzi na hapendi kujishusha pale anapokosea ila most cases wanawake huwa ni wakorofi in nature.

Mkipishana kidogo mume anajisusisha anamuuliza nini tatizo ke anajibu hamna kitu ila kakununia mwisho wa siku unaamua kumu ignore tu. Sasa mtu kama huyo unaanzaje kumuandaa kwenye sex? Cycle ya poor communication ndio inazaa kufa kwa hisia na usaliti mwishoni.

Kuhusu kuchepuka na bestfriend wa mumeo huo ni umalaya na nachoweza kukushauri ni kuwa andaa mazingira ya utapoenda baada ya kupigwa red card na mume maana haikwepeki.
 
Mkuu upo sahihi hata kama anataka dushe anasubiri mpaka mme aanze, sasa kama si ujinga ni nini?
Huyo ndiyo mwanamke hata kama haupo unasubiliwa sio akijisikia yeyote anaruka naye
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji2] kumbe ngoma droo anakuwa kamaliza huko kama ni hivyo hakuna shida ni kukomoana tu
 
Sio wangu tu man, anawakilisha wengi sana wa siku hizi wazembe. Ila mie nimebadili muundo huwa siombi nikijiskia nachukua tu kibabe no democracy anaishia kujichekesha tu mie nala vyangu.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] unatisha
 
Kabisa yani Hawa wanaume wanatuonaga wanawake mazwazwaaa eti hatujui na kweli mtu anajisifia kuwa anachepuka na beki tatu 3 years alafu mke hajui looh kalagha bao wanawake tuna IQ kubwa kwenye kufikiria haya mambo na wala huwa hatuhitaji msaada wa technology cjui mobile tracker kama wanaume walivyo
 
Halafu hamjuagi kama mwanamke halizishwi hupoteza hamu yakufanya tendo la ndoa, jeuri lazima ubongo hujijenga hata kama akinipanda ni yaleyale hakuna jipya vifo vya mende tu ndivyo mnaongoza na mabeki 3 wenu
 
Sasa cariha mie nshakwambia kwamba nikihitaji naomba kusiwe na excuses hali hii inaniboa unatoa gemu week moja ikiisha umeshasahau unaanza tena vikwazo ssa huko kurekebishana itakuwa hadi lini?

Mume kuchepuka sio kama anapenda yani ila mazingira ndio yanaforce. Mwanaume nimeona michirizi ya utamu ukiwa ndani ya kanga nishatamani tayari nimetaka huduma unakuta mtu anakukatili. Oh, si usubiri mpaka usiku bhana ntakupa we huoni ndio naenda kazini sahivi.
 
Hata kama si kibamia lakini ugoi goi wao wanavumiliwa tu lakini wao sasa kutoa siri za wake zao kwa mabeki 3 mke anazarauliwa tu
 
Huyo anayeitwa beki 3 ni binadamu kama wewe mama mwenye nyumba, anapenda na kupendwa. Matendo ya akina mama baada ya kuwepo huyo so called beki 3 yanakuwa kama amepata msaidie kwa majukumu yake ya msingi(mke). Beki 3 akifanya vizuri ndipo watu wa nje wanajua, akifanya vibaya hatuoni matangazo. Achana na topic hii ni more complicated.
 
Alipe tu sasa kama mtamu unafaidi kwanini asibebe majukumu zaidi ya hapo ni udhalilishaji na kumwaribia tu future mtoto wawatu
Hahaha umenikumbusha niliwahi ujua mchepuko wa Mr nilikua nakwambia ahakikishe anamchuna vizuri na yule binti alikua makini alikua anaomba ela hadi Mr akawa anatamani kabisa kusema lakin ataanzaje kuniambia na mim nlikua namwangalia tu ila sjui aliona matumizi yamezidi naona Mr akamwacha huyu bint
 
Hafu ndoa ni zaidi ya Ku do sasa ka mnawaza ngono mda wote maendeleo mnafikiria SAA ngapi maana ka ngono Ku solve kumewashinda ndo mambo mengine.
Maendeleo watawaza saangapi na mwanamke akimpata wakumsikiliza wanazaa watoto baba tofauti yeye anakenua tu mimeno isiyo pigwa hata mswaki vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…