ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Hahahahaha na mtoto analea baba mwenye nyumbaHakuna cha talaka saangapi utajua tena mimba ikipatikana wala haitolewi tunazaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha na mtoto analea baba mwenye nyumbaHakuna cha talaka saangapi utajua tena mimba ikipatikana wala haitolewi tunazaa tu
Alipe tu sasa kama mtamu unafaidi kwanini asibebe majukumu zaidi ya hapo ni udhalilishaji na kumwaribia tu future mtoto wawatuAda watakomaje? Si ndio umlipie sasa si ndio mke mdogo huyo
HuhuhuhuhuhuNa unguruwe pia
Asante japo hatujapoa tutapambana tu mpaka kielewekeMmm!!!! Poleni mlio kwenye ndoa
Unajua ishu unayokumbana nayo wewe yaweza kuwa tofauti kidogo. Pengine mumeo ni mtu wa panic za kiduanzi na hapendi kujishusha pale anapokosea ila most cases wanawake huwa ni wakorofi in nature.Mimi sio pumbavu ila nyie waume ndo huanza kuharibu nyumba ujue mapenzi ni hisia wewe unanikwanza hujaniandaa unataka ngono na nyie wanaume huwa rahisi kusahau maudhi yenu kwetu nyege zikiwapanda unataka nikupe tu si bora uende tu kwa huyo beki Tatu maana ndo solution na Mimi nitafta mwingine maana mume kuchepuka hakupendi sasa ili Ku neutralize hali dawa nikutafta na wewe wakukupunguzia machungu na nyie mubaki na beki Tatu. Hafu nyie mwataka kuchepuka wake zenu wakichepuka mwawa wakali. Mi baby wangu akichepuka mi ni date marafiki zake hadharani tuone[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Huyo ndiyo mwanamke hata kama haupo unasubiliwa sio akijisikia yeyote anaruka nayeMkuu upo sahihi hata kama anataka dushe anasubiri mpaka mme aanze, sasa kama si ujinga ni nini?
Hapo unatudanganya mkuumabeki 3 hawanaga ukimwi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji2] kumbe ngoma droo anakuwa kamaliza huko kama ni hivyo hakuna shida ni kukomoana tuWanawake ni wavivu sana hadi inaboa, yani hasa ukishamuoa ndio anaona kamaliza kazi hajiongezi kwenye sekta nyeti hapo vitaanza visingizio mara kuchoka...mara kazi nyingi na unaweza chunguza anakusumbua ila deepdown kumbe kuna kenge anampaga penzi free huko nje.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] unatishaSio wangu tu man, anawakilisha wengi sana wa siku hizi wazembe. Ila mie nimebadili muundo huwa siombi nikijiskia nachukua tu kibabe no democracy anaishia kujichekesha tu mie nala vyangu.
Kabisa yani Hawa wanaume wanatuonaga wanawake mazwazwaaa eti hatujui na kweli mtu anajisifia kuwa anachepuka na beki tatu 3 years alafu mke hajui looh kalagha bao wanawake tuna IQ kubwa kwenye kufikiria haya mambo na wala huwa hatuhitaji msaada wa technology cjui mobile tracker kama wanaume walivyoUjue wanawake tumeumbwa kuanza kushtukia nyie wanaume ndo hufanya wanawake wawachoke wewe watoka na beki tati wajua siri kumbe yeye anajua automatic upendo unakufa anajitaftia wake wewe unabaki tu baba mwenye mji. Siku wanaume mkajiheshimu hamna mwanamke anayeweza kuwa mjeuri bora kumuelekeza kwa upendo kuchepuka sio solution
Tembo mkuuDuuu!!!! Kama punda vile!!! Hizi ndoa hizi
Pia wanawake wanavumilia sanaAiseee!!! Kwenye ndoa kuna mengi
Hahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si mpaka umkamateNdoa kwa upande mwingine zinaleta stress sana sasa huyo kenge ukimkamata unaweza ukaua mtu
Halafu hamjuagi kama mwanamke halizishwi hupoteza hamu yakufanya tendo la ndoa, jeuri lazima ubongo hujijenga hata kama akinipanda ni yaleyale hakuna jipya vifo vya mende tu ndivyo mnaongoza na mabeki 3 wenuMkuu hao viumbe achana nao kabisa. Mwanzoni mwa ndoa wanakuwa wana bidii sana tena utafaidi tendo mpaka raha. Ila wakianza kuzoea maisha ya ndoa utajuta kuzaliwa. Hii ndio maana H/girls wanatumika sana. Wana-Saikolojia wamethibitisha ili mwanamme akili yake iwe fresh lazima afanye mapenzi yaliyoshiba. Pia wakaongeza mtu aliyefanya mapenzi usiku wa kuamkia siku ya INTERVIEW anakuwa na utuivu sana na kujibu maswali kwa umakini zaidi.
Sasa cariha mie nshakwambia kwamba nikihitaji naomba kusiwe na excuses hali hii inaniboa unatoa gemu week moja ikiisha umeshasahau unaanza tena vikwazo ssa huko kurekebishana itakuwa hadi lini?Sasa nyie mchepuke hafu mje mpewe papuchi tena simhamie tu huko mchepukoni ukijiheshimu lazima mkeo hakuheshimu ila nyie mnaonaga wake zenu ni wajinga hawajui kinachoendelea.
Ujue MTU akikosea.mwelekeze kwa upendo arudi mstarini sasa nyie chepukeni ufikiri urudi kwa mkeo atakuacha salama matokeo yake mnashindwa kujenga familia imara
Hata kama si kibamia lakini ugoi goi wao wanavumiliwa tu lakini wao sasa kutoa siri za wake zao kwa mabeki 3 mke anazarauliwa tuWanaume wengi ni walalamishi ili kutafta kisingizio kuchepuka ujue kihisia wanawake huwa zinakuwa mbali inahtaji kusali na upendo sasa nyie ukute mnawaudhi yeye yuko kimya kachoka, pia huko kuwa kukavu madawa ya uzazi nayo yachangia, ukiona unamchoka mkeo humvumilii ujue hukumpenda vzuri, mbona sie huwavumilia na vibamia vyenu Ku papu hamjui, nyie wanaume jiheshimu aisee namkukue
Hahaha umenikumbusha niliwahi ujua mchepuko wa Mr nilikua nakwambia ahakikishe anamchuna vizuri na yule binti alikua makini alikua anaomba ela hadi Mr akawa anatamani kabisa kusema lakin ataanzaje kuniambia na mim nlikua namwangalia tu ila sjui aliona matumizi yamezidi naona Mr akamwacha huyu bintAlipe tu sasa kama mtamu unafaidi kwanini asibebe majukumu zaidi ya hapo ni udhalilishaji na kumwaribia tu future mtoto wawatu
Maendeleo watawaza saangapi na mwanamke akimpata wakumsikiliza wanazaa watoto baba tofauti yeye anakenua tu mimeno isiyo pigwa hata mswaki vizuriHafu ndoa ni zaidi ya Ku do sasa ka mnawaza ngono mda wote maendeleo mnafikiria SAA ngapi maana ka ngono Ku solve kumewashinda ndo mambo mengine.