Hata maandiko yanasema ndoa naiheshimiwe na watu wote sasa nyie wanaume kuchepuka ni halali hafu, jinsi mwanamke/ mwanaume anavokuwa na wengi anajikaribia maroho machafu uchafu.lazima ufe migogoro nakupoteza dira, naukilinganisha ndoa ya watu wanaojiheshimu huwa na maendeleo, ila ile mwanaume umalaya na michepuko huwa maendeleo zeroNachokiona kwa washuhudiaji wengi hapa, hakuna anayemfahamu Mungu, wala kuwa na hofu ya Mungu, ukileta ukimwi ndani ni kitu kibaya sana.
Kwani na wewe siwatumika piaHahahahaha! Nakuonea huruma bibie, utatumika weye!
DNA za mkemia huwa zinalinda ndoaPoa poa, hapo ngoma droo hakuna kulaumiana lakini elewa DNA tests zitakuja kukuumbueni siku moja.
Siku hizi bikra ni below 12 tena hao wengi ni wagonjwaKibamia hakizuu kupata binti mbichi, tena natafuta bikra wa kati ya 18-22 yrs.
Una mume mburura tu. Njoo kwangu coz kwa exoeriance yangu toka nimeanza kula beki tatu. Mapenzi na wife yameongezeka, na nlikuwa nachelewa kurudi home tunagombana na wife, sms zilikuwa nyingi kwenye simu ila baada ya gegedo la beki tatu no sms, saa kumi tu nisharudi home, milo yote nakula nyumbani. Kamfukuza saiz najipanga kivingineHuwa inafika wakati natamani labda nisingesoma maana upeo wangu ni mkubwa hakuna sehemu Mr akacheat nisijue hadi najichukia maana stress zingine za hovyo tu
Sasa nyie mchepuke sisi tutulie tu tusitafte ya size tofauti nakukojozwa tutulie tu ili iweje ili kuleta equilibrium lazima tutoke tu ndo mana ikifika kwenu tunatulia affection hamna natunajua kabisa mna michepukoKwa MTU kama wewe mwanaume wako lazima achepuke aisee hata ningekua Mimi... Maana si kulalama huko. Nani kakwambia mwanaume akilala na beki 3 inamaanisha we hufai? Ungekua hufai usingeolewa kabisa ukaishia kudanga. Tatizo wanawake hamjiamini kabisa kwanye ndoa zenu.. Tunawapenda sana wake zetu Lakini mnalalamika sana wengine hadi mnaanika madhaifu ya wanaume zenu hata huku kwenye media. Hata mfanyiwe nini hamriziki hata siku moja isipokua wachache. Ili kuondokana na stress ndio mana Mwenyezi Mungu akaruhusu tuoe wake zaidi ya mmoja. Huyu akikupa karaha unaenda kwa Huyu alotulia siku hiyo. Sasa kwa kua kuoa kunakua kugumu ndio mana wengine wanajisevia kwa beki 3 na wengineo. Wanawake mna maudhi sana acha tu...
Nikikukamata kinaota aiseeSasa nyie mchepuke sisi tutulie tu tusitafte ya size tofauti nakukojozwa tutulie tu ili iweje ili kuleta equilibrium lazima tutoke tu ndo mana ikifika kwenu tunatulia affection hamna natunajua kabisa mna michepuko
Wewe vinazalisha hafatilii takwimu za mkemia mkuu kuwa zaidi ya asilimia 50% wanalea watoto wasio waoJapokuwa mie sio mhanga wa vibamia lkn kwa wale wenye navyo pamoja na kuvibeza vibamia lkn mbona vinawazalisha?
Sio kuzingua mi ka mwanamke nasema ukweli ambao huwa tunaongea wanawake tukiwa pekee had kupeleka wenzetu sehemu ya kuwafanya muwe wajingaDah cariha mumeo inaonekana anakuzingua sana wengine tuna majanga ila we naona unahasira kinoma yani hahahahah imenibidi nicheke tu sasa dah hahahaha pole sana bibie
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kinaota nini hichoNikikukamata kinaota aisee
Hahaha mkuu seems uko vizuri kwenye uchepukaji ila huwezi amini ningekubamba tuUna mume mburura tu. Njoo kwangu coz kwa exoeriance yangu toka nimeanza kula beki tatu. Mapenzi na wife yameongezeka, na nlikuwa nachelewa kurudi home tunagombana na wife, sms zilikuwa nyingi kwenye simu ila baada ya gegedo la beki tatu no sms, saa kumi tu nisharudi home, milo yote nakula nyumbani. Kamfukuza saiz najipanga kivingine
Na sisi kuchepuka kufata mengi yaku cover madhaifu yenu tena uhamishia upendo kwa michepukoMaana wanaume huwa tunachepuka si kwamba tunawachukia wake zetu. Km mm mke wangu nampenda sana tu ila nachepuka kumsaidia kumpunguzia matatizo ya mgegedo kila siku
Wakati mwingine mnahisi tu kwakua manaona matangazo huko kwenye mitandao kwamba mwanaume yoyote lazima achepuke wakati si kweli wengine hawachepuki. Hisia zenu ni kama mnatengeneza uchepukaji wa waume zenu. Pia life style maneno maneno yasiyo na msingi. Mara hivi Mara vile lazima unadisturb Moyo wa Mme wako. Hatupendi kabisa kelele zenu na malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu. Unaweza kumfanya mumeo asiende kuchepuka kabisa wala asiwazeSasa nyie mchepuke sisi tutulie tu tusitafte ya size tofauti nakukojozwa tutulie tu ili iweje ili kuleta equilibrium lazima tutoke tu ndo mana ikifika kwenu tunatulia affection hamna natunajua kabisa mna michepuko
Wewe wanaume wote ni walewale tena bora vijana sio Malaya ka waliooa, nyie mliooa ndo mnaongoza kutongoza tongoza hovyo hamjali hata afya, mkiona tu mrembo mwenye kalio hao, yani mi mijianaume yenye wake ndo hunitongoza sasa hyo yakusema mitandaoni si kweli.Wakati mwingine mnahisi tu kwakua manaona matangazo huko kwenye mitandao kwamba mwanaume yoyote lazima achepuke wakati si kweli wengine hawachepuki. Hisia zenu ni kama mnatengeneza uchepukaji wa waume zenu. Pia life style maneno maneno yasiyo na msingi. Mara hivi Mara vile lazima unadisturb Moyo wa Mme wako. Hatupendi kabisa kelele zenu na malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu. Unaweza kumfanya mumeo asiende kuchepuka kabisa wala asiwaze
Hiyo kweli wananyonya kuzidi hata watoto wao, kisha yakilala eti miziwa yenyewe ndala tunataka saa6 wakati naye kachangia yalale tutafika tu wenye stress zao watabaki njianiYani nyie mtukongoroshe kwa kuwazalia bado mtuone hatufai, miili yetu tuharibu shape zetu na nyonyo zetu kuwanyonyesha nyie na midevu yenu ka Osama kuwanyonyesha, na wanetu, tuwapikie tuwafanyie yote bado mtuone hatufai, pia sikuhizi pia wanawake nao hufanya kazi mbona tena wengine wamewazidi wanaume vipato
Kuna dada alikuwa analia mme kafika kapokewa vizuri kala kashiba sms toka kwa kahaba nipo free tunaweza onana kaondoka kaenda huko wakati hawana ugomvi na mkewe unategemea nini hapo utakuta mke mrembo anaweza bebwa na mtu yeyote anakuvumilia na ugoigoi wako naye akichepuka utasema nini alipoulizwa maneno machafu kwa mkewe bila hata kutumia busara yeyoteSio hufai mama, hujitumii katika nafasi yako...Kazi yako we ni kunipikia na kunipa mambo sasa iweje nianze kudai papuchi kwa maombi na mizinguo mingi.!? We toa mzigo bila gozi gozi uone kama ntageuka kushoto na kulia. Pika mambo matamu uone! Tatizo kinawaponza kiburi.