Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Kuchepuka ruksa ila usifumwe,maana siwezi kulisha,nimekutolea Mali afu uchepuke nijue hapo unatembea tu,,hamu ya kumla mwanamke inakata kama kiu vile
 
Hadithi za makanisa ya kilokole mlioaminishwa na baba mchungaji
 
Vijana hawajiamini na hawana pesa,aliyeoa anakuwa ameikinai papuchi ya mkewe anataka radha mpya tu.Tatizo wanawake wanatafsiri upendo kwa kutiana wakati wanaume ni tofauti, k kwa mwanaume ni kutolea nyege tu
 
Hiyo ni sawa na fungu la kukosa,maneno mengi wakati ushaliwa.Kama huwajui wanawake ndo utashangaa na kauli zao
 
Sasa Mimi kwanini iniume hasa kwa mtu mzima aliyeamua mwenyewe kufanya uzinzi unataka nimkate dyudyu yake si anajifanyia tu akiamua, huku nami natafta kipoozeo changu chenye masilahi mapana . yani mi akinizingua huyo kwa danga langu
Sasa utiwe ww kwa raha zako kuna shida gani hapo,cha msingi nisigundue baaasi.Binafsi nilisha mwambia wife kuchepuka ruksa ila nisijue,na namfuatilia nikigundua na kujiridhisha anasepa hakuna vikao regardless what na amewahi fuma sms mara kibao tu,,sio nikulishe ufanye ufuska nikajua aisee ukitaka haki sasa na Wewe oa na Niko tayari kisaikolojia siku yeyote
 
Kama pengo limezibwa kuna haja gani ya kutumia na kuwaza kuua? Statistics zinaonyesha wanaume ndo wameua na kujiua zaidi kwenye ishu za mapenzi kuliko wanawake.Tulia tu na danga lako maisha yaende,udhalilishwe mpaka ushangae uzuri umejipeleka kishingo upande
 
Wanawake tatizo kubwa siku hizi nao wanajikuta wana Pumbu, wanataka kutudindia tuwe sawa
 
Wanawake wenye busara wameutumia huu uzi kuziba matundu ktk ndoa zao.

Ila wale wadangaji na wasiojielewa wame utumia kujinadi.

Wake wenye hekima hawa zidi wawili waliochangia hapa.
 
Hiyo kweli wananyonya kuzidi hata watoto wao, kisha yakilala eti miziwa yenyewe ndala tunataka saa6 wakati naye kachangia yalale tutafika tu wenye stress zao watabaki njiani
Ni wanaume tu wapumbavu wanaoweza Ku mudiss mtu aliyewazalia watoto acha tu michepuko iwaroge nakuwatia umaskini
 
Thamani yenu ya kuwa mke iko palepale lakini thamani yenu kimshaba inapungua saaana sasa mwanaume gani atabakia hapo isiposimama je,kuchepuka ni starter afu sasa kuna kukinai
Ndo mana nacye uwanyima tukijifanya hatutaki
 
Mwanaume yupi anayekujali kwa dhati,hujui usemalo ww
Shika hii itakussidia,kadiri mwanaume anavyozoea papuchi thamani yako inapungua macho yanaangalia mpya ni kinyume na nyie dudu zetu hazijawahi depreciate
Sasa na sisi tukishapata mume watoto hatuna mda na nyie baba watoto tunatafta chimbo jipya lenye kujali kuhusu ugegedaji mzuri na fezwa wewe mume hats ukiamia mtaa wa kumi ndo vzuri zaidi
 
Vijana hawajiamini na hawana pesa,aliyeoa anakuwa ameikinai papuchi ya mkewe anataka radha mpya tu.Tatizo wanawake wanatafsiri upendo kwa kutiana wakati wanaume ni tofauti, k kwa mwanaume ni kutolea nyege tu
Wenyewe sisi wanawake hatujali kutiwa tunaanza kujali care na masilahi wengine nyie mkitoa nyege sisi twawaza kwa mwanaume huyu nitapata faida gani za kiuchumi hyo ndo tofauti
 
Hadi ugundue lini kwanza hapo ukute walea wana wasio wako na hauna sauti
 
Wanaume wengi hutangulia kufa kuliko wanawake unafikiri tatizo huwa nini ka sio stress za mahusiano kutokujiheshimu na kuhimili mambo,
 
My mbavuz pliz.
So, umeletewa nani kwa sasa?
Mzuri au m'bibi?
Utakoma
 
Hawa wakishaolewa wanajisahau wenyewe wanasema nimeshatoa mkosi na hasa hawa wanawake waliosoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…