Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Hawana masharti,wao wanaongozwa
hawaongozi,Maana unakuta mtu umemuoa
lakini unapangiwa masharti utadhani umeolewa wewe.
Jeshini,si jeshini,mgambo si mgambo.
ilimradi tu kuwepo tafrani. Mara usiniguse hapo
usinishike hivyo,nk.
Kwa beki tatu hakuna msalagambo wa namna hiyo
Wanawake badilikeni,wanaume sio watu wa maneno
ni watu wa matendo.
Tahadhari usimjaribu beki tatu utapotelea huko.
Yaani badala ya kushiriki tendo... YEYE ANAGEUKA KUWA MLINZI AHAKIKISHE HAGUSWI SEHEMU FULANI.... Matokeo yake hafiki kileleni kisa hashiriki kikamilifu...
 
Hamna bwana wewe hao wake zenu kaeni nao vizuri mbona waume wenzenu hukimbia vitanda mapema anazuga anafanyakazi kwenye mtandao kumbe anamkimbia mke [emoji2] [emoji2] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hahahah hayo majamaa yanayokimbia kitanda yatakuwa hayawezi shughuli basi inabidi yapangiwe kazi ingine. Huwa tunahakikisha kuwa gari imepaki ikiwa juu ya mawe tairi zote zimekaliwa na rim. Kama jamaa yako mzembe mwambie ajiongeze!
 
Sasa ukimpata mtu was kunisaidia kulea kuna shida gani hapo,ni kumpiga teke chura tu maana unakuwa umepoteza mvuto ww ni ganda la mua la Jana,sie tunaamsha popo kwa vimwana wapya
 
Yaani badala ya kushiriki tendo... YEYE ANAGEUKA KUWA MLINZI AHAKIKISHE HAGUSWI SEHEMU FULANI.... Matokeo yake hafiki kileleni kisa hashiriki kikamilifu...
Wana visa sana hao watu...Kisha ukianza kupanda na kushuka ilimradi kama kwenye SANLG ataanza kukutangaza umfikishi unampakaza tu wakati mtu mda wa kazi hajiongezi.
 
Hahahah hayo majamaa yanayokimbia kitanda yatakuwa hayawezi shughuli basi inabidi yapangiwe kazi ingine. Huwa tunahakikisha kuwa gari imepaki ikiwa juu ya mawe tairi zote zimekaliwa na rim. Kama jamaa yako mzembe mwambie ajiongeze!
Hahahahaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] wewe sio huyo ukitaka kuyapata saloon watu wanaongea machungu yao hatari nashangaa nyie mnalaum wanawake
 
Ndiyo hapo sasa mama naye akijua watoto wanapata wajomba wakuwanunulia chips hatari, ukiwa kichwa lazima uongoze sasa nyie majukumu yenu mnayakimbia kiwiliwili kinaendesha familia poa tu
Mambo ya kipumbavu haya...dah!
 
Wana visa sana hao watu...Kisha ukianza kupanda na kushuka ilimradi kama kwenye SANLG ataanza kukutangaza umfikishi unampakaza tu wakati mtu mda wa kazi hajiongezi.
Tatizo kubwa ni kuwa wao shughuri ya wao kufika kileleni, wametuachia wanaume kwa 100%... Yaani yeye anakuwa kama vile hayupo hapo mnapofikishana kwa kilele.....
 
Hahahahaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] wewe sio huyo ukitaka kuyapata saloon watu wanaongea machungu yao hatari nashangaa nyie mnalaum wanawake
Aroo, kumbe huwa mnakuwa mnatuweka kikaangoni huko!?
 
Tatizo kubwa ni kuwa wao shughuri ya wao kufika kileleni, wametuachia wanaume kwa 100%... Yaani yeye anakuwa kama vile hayupo hapo mnapofikishana kwa kilele.....
Romance muhimu sana na inakuwaga tamu kama mwanamke anaitikia vizuri. Fasta tu anakuwa nyang'anyang'a
 
Wana visa sana hao watu...Kisha ukianza kupanda na kushuka ilimradi kama kwenye SANLG ataanza kukutangaza umfikishi unampakaza tu wakati mtu mda wa kazi hajiongezi.
Embu kakaeni na wake /wapenzi wenu achane kuchepuka hovyo sio vizuri [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Aroo, kumbe huwa mnakuwa mnatuweka kikaangoni huko!?
Watu wana machungu na tatizo nyie hamkai na wake zenu kujadili mapenzi yenu mpo buys na michepuko kama kabadilika kaa chini muulize mtu mzima na akili zake lazima akusikilize
 
Embu kakaeni na wake /wapenzi wenu achane kuchepuka hovyo sio vizuri [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuchepuka sio sifa na binafsi sichepuki ila changamoto za wanawake zinaweza fanya mtu ukaanza kuchepuka. Nilitongoza mara moja ili nianze mahusiano na mambo yote mpaka kujenga family. Ila ikifikia stage kila nikitaka K nianze kutongoza upya hilo limekaaje wakati mi ni faza inabidi nijilie vyangu bila kokoro!
 
Back
Top Bottom