Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa wewe unaumia na mchepuko ili nini kwanza kumchunga ni kumchakaza wewe ukiwa na mkeo unafikiri yeye huwa na Nani hapo yeye kakuroga bwege lake umuwezeshe tu kufika mahali, sipati picha ulivo na stress watamani kumwambia mke wako
 

Anatembea na Dada wa kazi kuelekea wapi ?
 
Bahati mbaya sana huwa sina cha kupoteza coz pesa huwa napata ya kutosha tu kila mwezi kulisha fsmilia yangu na kumlipia ada first born wangu. Na ninabaki na kidogo ya kusumbua watoto wenye tamaa. Sema huwa napenda kumweka vizuri tu dem anayenitunuku mashine yake ili ikiwezekana akichepuka asisingizie hakuwa na hela ya matumizi. So nikigundua anacheat with no reason huwa nawithdraw with no notification. Sababu nina access nao hawa kuchukua mwingine haichui hata week
 
Mzee baba kila goma jipya unalosajili unalipima ngoma au tunaamini katika kumuaandaa sana demu?
 
Nabii Tito alitwambia tugegede tu, hakuna namna, na sisi tunatimiza maandiko ya Nabii
 
Wanaume huwa mnahisi kama wenzenu wana mioyo ya mawe, unakuta kabisa unajua nikifanya jambo fulani nitamuudhi mwenzangu lakini unafanya maana unajua atajinunisha akichoka ataongea, kumbe mnatengeneza mabomu. Unakuta mtu kajichokea yupo na ww kusukuma siku ziende hana hisia yeyote n ww ukimgusa anaona shida tu alaf unategemea mtu kama huyo apate hisia na ww! zitatoka wapi? Hivi hamjiulizi the same person ambae alikua crazy over u saiv mnaishi kama magogo ndani ya nyumba what went wrong? Most of African men mna ubabe ile kujitua udume mbegu usokua na msingi na shida ndo inapoanzia hapo.
 
Ukiona hvo humshiki ipasavyo unamuumiza tu ndo maana, Tatizo mnakariri sana si kila mwanamke anahisia sawa, mtu unakuta jitu limekuboa afu unajua akipanda ataanza kuviringa chuchu kama anatafuta chanel kwenye radio mbao hyo ham ya sex inatokea wapiiiii? em mjitathimini kwakweli!
 
njooni huku mumuone yule mwanamke mpumbavu wa kwenye biblia
 
Mzee baba kila goma jipya unalosajili unalipima ngoma au tunaamini katika kumuaandaa sana demu?
First thing lazima nikupime maana mm hata bei ya condom siijui, na huwa napima in every six months. Ili kumpa mwenzangu attention. And huwa ni councellor katika kipindi chote cha uhusiano
 
Sasa si useme unataka uandaliwaje? Kwani huna mdomo?
 
Unamwachaje mtoto mzuri kizembe hivyo, hebu nipe number yake
 
Natafuta mwingine kaka wapo wengi tu hawa. Kazingua mwenyewe. Mi huwa nina kiburi dem akinilietea kujifanya superstar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…