Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Guys natumai mu bukheri wa afya njema. Weekend nliwaaga naenda kutana na mpenzi wangu, ambaye alikuwa beki3 wangu. As I told you before huyu mtoto ni mzuri sana. Na aliletwa kwangu kufanya kazi ikiwa ninsehem ya kumresque na baba yake mzazi ambaye alikuwa anamtongoza.
Kama kawaida aliaga kwao kuwa anaenda kutafuta chuo cha kusomea cherehani, na nlikuwa nimemwambia akipata nitalipa ada nangharama zingine zote. Basi nikamchukulia form na kwa vile mpango ulikuwa umeshaandaliwa mm nlikuwa nishapiga simu na form ninayo mkononi. So nlikaa naye siku 2 hotelini najilia tu vitu adimu. In short nlienjoy sana. Pia kwa vile tulipotezana kwa takriban mwezi hivi bila mawasiliano kwani hapa kwangu ilikuwa marafuku kukaa na simu coz hapo nyuma nlimpa simu akawa na matumizi sio mazuri nikamnyanganya, basi nikawa nimemchukulia smartphone nzuri ya laki moja hivi kama zawadi kwa kuendelea kunitunuku tunda lake. Tumemaliza yetu tukapanda bus kurudi tukiwa na furaha tu. Jana nimempigia simi saa tatu nikakuta simu bize, saa tatu na dk15 bize,23:30 bize,23:45 bize,22:00 bize, 22:20 bize. Nikazima simu nikalala.nikaacha sms unaongea na simu all the time saa nzima na nusu unaongea biashara gani usiku wote huu. Na unaongea na nani. Sikujibiwa.asubuhi nimempigia simu nikamuuliza kasema simu ilikuwa chaj. Hivi ninavyoongea ndo nimemaliza kublacklist namba zake, na kuzifuta kabisa. Sijamwambia kitu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa wewe unaumia na mchepuko ili nini kwanza kumchunga ni kumchakaza wewe ukiwa na mkeo unafikiri yeye huwa na Nani hapo yeye kakuroga bwege lake umuwezeshe tu kufika mahali, sipati picha ulivo na stress watamani kumwambia mke wako
 
Kama title inavyosema,

Wanaume wengi siku hizi mlio kwenye ndoa mnaongoza kwa kulala na wadada wenu wa kazi.

Sasa tunaomba kujua hawa wadada wa kazi wananini mpaka mnafikia hatua ya kuwakosea heshima wake zenu kwa kulala nao tena ndani?

Na mnapokutwa kwanini hamuombi msamaha yakaisha ila mnageuza kibao kwa dada wa kazi na kusema hafai mtafute mwingine?

Nimekereka kweli na jirani yangu leo, jamaa anaonekana mstaarabu baba mtaani lakini kumbe ovyo.

Leo kafumaniwa na mkewe anatembea na dada wa kazi, kazini katoka mapema kwa kisingizio kuwa anaumwa wakati mkewe hajamwambia kama anajisikia vibaya na anarudi nyumbani.

Anatembea na Dada wa kazi kuelekea wapi ?
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa wewe unaumia na mchepuko ili nini kwanza kumchunga ni kumchakaza wewe ukiwa na mkeo unafikiri yeye huwa na Nani hapo yeye kakuroga bwege lake umuwezeshe tu kufika mahali, sipati picha ulivo na stress watamani kumwambia mke wako
Bahati mbaya sana huwa sina cha kupoteza coz pesa huwa napata ya kutosha tu kila mwezi kulisha fsmilia yangu na kumlipia ada first born wangu. Na ninabaki na kidogo ya kusumbua watoto wenye tamaa. Sema huwa napenda kumweka vizuri tu dem anayenitunuku mashine yake ili ikiwezekana akichepuka asisingizie hakuwa na hela ya matumizi. So nikigundua anacheat with no reason huwa nawithdraw with no notification. Sababu nina access nao hawa kuchukua mwingine haichui hata week
 
Bahati mbaya sana huwa sina cha kupoteza coz pesa huwa napata ya kutosha tu kila mwezi kulisha fsmilia yangu na kumlipia ada first born wangu. Na ninabaki na kidogo ya kusumbua watoto wenye tamaa. Sema huwa napenda kumweka vizuri tu dem anayenitunuku mashine yake ili ikiwezekana akichepuka asisingizie hakuwa na hela ya matumizi. So nikigundua anacheat with no reason huwa nawithdraw with no notification. Sababu nina access nao hawa kuchukua mwingine haichui hata week
Mzee baba kila goma jipya unalosajili unalipima ngoma au tunaamini katika kumuaandaa sana demu?
 
Nabii Tito alitwambia tugegede tu, hakuna namna, na sisi tunatimiza maandiko ya Nabii
 
Unajua ishu unayokumbana nayo wewe yaweza kuwa tofauti kidogo. Pengine mumeo ni mtu wa panic za kiduanzi na hapendi kujishusha pale anapokosea ila most cases wanawake huwa ni wakorofi in nature.

Mkipishana kidogo mume anajisusisha anamuuliza nini tatizo ke anajibu hamna kitu ila kakununia mwisho wa siku unaamua kumu ignore tu. Sasa mtu kama huyo unaanzaje kumuandaa kwenye sex? Cycle ya poor communication ndio inazaa kufa kwa hisia na usaliti mwishoni.

Kuhusu kuchepuka na bestfriend wa mumeo huo ni umalaya na nachoweza kukushauri ni kuwa andaa mazingira ya utapoenda baada ya kupigwa red card na mume maana haikwepeki.
Wanaume huwa mnahisi kama wenzenu wana mioyo ya mawe, unakuta kabisa unajua nikifanya jambo fulani nitamuudhi mwenzangu lakini unafanya maana unajua atajinunisha akichoka ataongea, kumbe mnatengeneza mabomu. Unakuta mtu kajichokea yupo na ww kusukuma siku ziende hana hisia yeyote n ww ukimgusa anaona shida tu alaf unategemea mtu kama huyo apate hisia na ww! zitatoka wapi? Hivi hamjiulizi the same person ambae alikua crazy over u saiv mnaishi kama magogo ndani ya nyumba what went wrong? Most of African men mna ubabe ile kujitua udume mbegu usokua na msingi na shida ndo inapoanzia hapo.
 
Sasa unakuta mwanamke hutaki kuguswa kila sehemu, kunyonywa titi hutaki, kupapaswa hutaki, utasiki "usinuguse huko, titi zinauma, fanya haraka mie nilale nk..." halafu unataka uandaliwaje? ....
Halafu unakuwa kama gogo tu kitandani! Mwanamume anahangaika peke yake, mwanamke hata kushtuka hakuna. Mwanamume anavumilia wee mwishowe anaona upuuzi huu, hatimaye anatafuta alternative.

Mbona beki 3 ukimgusa tu, tayari kashakukumbatia na mambo mengine yanaendelea na hakuwekei mipaka?

Wanawake jirekebisheni ikiwezekana muitane mpeane semina. Maana wanawake wa dot com hata unyago humpitii. Sijui hata kwenye kitchen party huwa mnafundishwa nini?
Ukiona hvo humshiki ipasavyo unamuumiza tu ndo maana, Tatizo mnakariri sana si kila mwanamke anahisia sawa, mtu unakuta jitu limekuboa afu unajua akipanda ataanza kuviringa chuchu kama anatafuta chanel kwenye radio mbao hyo ham ya sex inatokea wapiiiii? em mjitathimini kwakweli!
 
Mimi sio pumbavu ila nyie waume ndo huanza kuharibu nyumba ujue mapenzi ni hisia wewe unanikwanza hujaniandaa unataka ngono na nyie wanaume huwa rahisi kusahau maudhi yenu kwetu nyege zikiwapanda unataka nikupe tu si bora uende tu kwa huyo beki Tatu maana ndo solution na Mimi nitafta mwingine maana mume kuchepuka hakupendi sasa ili Ku neutralize hali dawa nikutafta na wewe wakukupunguzia machungu na nyie mubaki na beki Tatu. Hafu nyie mwataka kuchepuka wake zenu wakichepuka mwawa wakali. Mi baby wangu akichepuka mi ni date marafiki zake hadharani tuone[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
njooni huku mumuone yule mwanamke mpumbavu wa kwenye biblia
 
Mzee baba kila goma jipya unalosajili unalipima ngoma au tunaamini katika kumuaandaa sana demu?
First thing lazima nikupime maana mm hata bei ya condom siijui, na huwa napima in every six months. Ili kumpa mwenzangu attention. And huwa ni councellor katika kipindi chote cha uhusiano
 
Ukiona hvo humshiki ipasavyo unamuumiza tu ndo maana, Tatizo mnakariri sana si kila mwanamke anahisia sawa, mtu unakuta jitu limekuboa afu unajua akipanda ataanza kuviringa chuchu kama anatafuta chanel kwenye radio mbao hyo ham ya sex inatokea wapiiiii? em mjitathimini kwakweli!
Sasa si useme unataka uandaliwaje? Kwani huna mdomo?
 
Guys natumai mu bukheri wa afya njema. Weekend nliwaaga naenda kutana na mpenzi wangu, ambaye alikuwa beki3 wangu. As I told you before huyu mtoto ni mzuri sana. Na aliletwa kwangu kufanya kazi ikiwa ninsehem ya kumresque na baba yake mzazi ambaye alikuwa anamtongoza.
Kama kawaida aliaga kwao kuwa anaenda kutafuta chuo cha kusomea cherehani, na nlikuwa nimemwambia akipata nitalipa ada nangharama zingine zote. Basi nikamchukulia form na kwa vile mpango ulikuwa umeshaandaliwa mm nlikuwa nishapiga simu na form ninayo mkononi. So nlikaa naye siku 2 hotelini najilia tu vitu adimu. In short nlienjoy sana. Pia kwa vile tulipotezana kwa takriban mwezi hivi bila mawasiliano kwani hapa kwangu ilikuwa marafuku kukaa na simu coz hapo nyuma nlimpa simu akawa na matumizi sio mazuri nikamnyanganya, basi nikawa nimemchukulia smartphone nzuri ya laki moja hivi kama zawadi kwa kuendelea kunitunuku tunda lake. Tumemaliza yetu tukapanda bus kurudi tukiwa na furaha tu. Jana nimempigia simi saa tatu nikakuta simu bize, saa tatu na dk15 bize,23:30 bize,23:45 bize,22:00 bize, 22:20 bize. Nikazima simu nikalala.nikaacha sms unaongea na simu all the time saa nzima na nusu unaongea biashara gani usiku wote huu. Na unaongea na nani. Sikujibiwa.asubuhi nimempigia simu nikamuuliza kasema simu ilikuwa chaj. Hivi ninavyoongea ndo nimemaliza kublacklist namba zake, na kuzifuta kabisa. Sijamwambia kitu
Unamwachaje mtoto mzuri kizembe hivyo, hebu nipe number yake
 
Natafuta mwingine kaka wapo wengi tu hawa. Kazingua mwenyewe. Mi huwa nina kiburi dem akinilietea kujifanya superstar
 
Back
Top Bottom