Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
Lazima utakua mwanaume suluali wewe aiseee
 
Hii familia ilikua uozo kabisa
 
Nilitembea na benki tatu baada ya kunyimwa miezi miwili ingawaje nilikuja kujilaumu maana nilianza kumwonea huruma mama watoto. Uzuri wao beki tatu hawana masharti ukiwahitaji. Lakini ubaya wao wanaanza kuwa na dharau kwa dada yake
Inakuwaje anakunyima miezi miwili?? Sababu nini?
 
Duuuu!!!! Wife afe??????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwenye biblia kuna kipande kinaelezea sifa za mke na moja ya sifa ilikuwa mwanamke ni wamwisho kulala na niwakwanza kuamka kuiangalia vizuri hio sifa anayo mfanyakazi kwahio mwana ume kutembea na mfanyakazi inamaanisha alikosea kuoa ila mke sahihi ni mfanyakazi according to Bible
Mshana Jr ebu nisaidie hicho kitabu kama unakikumbuka kwenye biblia kinachoelezea sifa za mke
 
Sababu kubwa ninyi wanawake siku hizi mkishaolewa mnakuwa wachoyo mno (sijui ndo haki sawa inawaathiri? mnajua wenyewe).
Mtindo wa kuwanyima waume zenu haki yao (tendo la ndoa) bila sababu ya msingi, hapo LAZIMA house girls wawasaidie tu, hakuna namna.
Halafu wanawake mkishaolewa mnajisahau sana! Mfano unampa house girl jukumu la kufua nguo za mumeo(hadi nguo za siri), kupika (hata kama wewe upo nyumbani tu), na kwa baadhi yenu mnawaruhusu house girls kutandika kitanda chako na mumeo!

Yaani mnayataka wenyewe halafu mnakuja humu kulalamika!
Kuweni wapole, wanawake wenzenu wawasaidie.
 
Hausi gero,ananipikia chakula,ananifulia nguo zangu,anapiga pasi nguo zangu,anawapa chakula watoto wangu,wewe uko busy na simu au tv,ukisaidiwa na kitandani unakuja hapa kulalamika?
 
Beki tatu ni msaidizi wa mke, ni kama Rais anavyosaidiwa majukumu mengine na Makamu wa Rais

Mkuu unamaanisha kma Raisi na Naibu raisi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Upo sawa hapo,tatizo wanawake wa siku hizi wavivu sana
 
Hivi ni kwa nini wadada wa kazi ni watamu sana??![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Mie naonaga ni heri nkatafute kulumbembe huko nje ila kutembea na beki 3 humo humo ndani ya nyumba huwa naona sio fair kwakwl kwa mama watt
Wewe naona mke wako yuko vizuri, yaani hakunyimi.
Lkn hawa wengine inafaa wasaidiwe na beki 3 maana hawajui kuwalinda waume zao.
 
Kinachoshangaza me wanalalamika kuwa wake zao wanawanyima, wakati huo huo wanawake wanalalamika
waume zao ni goi goi sasa tumwamini nani? Utakuta mpaka mtu anachukua maamuzi magumu mme hajulikani
mwili wake unapata joto au ndiyo joto linaishia kwa beki 3?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…