Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Sio tu stress imagine awe na michepuko mitano yetu airidhishe, atafte hela kwa shida yote iwe INA mpa mawazo,ulaji mubovu bado hao michepuko hawajampa malibwata ya kwenye papuchi kwanini asife mapema aache papuchi ya mkewe ikiliwa na wajanja
Na ndiyo maana akili zao hazipo sawa, michepuko inawalisha vichafu balaa wangejua hata wangetulia na wake zao, kuna mbaba alikuwa kwa mchepuko na alilala huko katoka kule kaenda kazini , anarudi kwake kafa hata haijulikani sababu ya kifo kalishwa huko au mke kamaliza mchezo basi kashatanguliza
 
Wewe unaona response zero maana hujui una muandaaje tena ukute una mubaka yeye ana muwaza mchepuko wake anaye mkojoza, hafu wanaume niwapeni siri ili mwanamke akuheshimu nakukupenda mkojoze sio kuchomeka na gumu. Sasa ukiona hivo naye anakipoozeo kinachomfikisha kileleni wewe endelea na beki Tatu
Kama hataki kuandaliwa unadhani kinachofuata ni nini, labda ahame kitanda. Au nikitaka kuingiza nisikute pochi, lkn kama ipo lazima ataachia tu.
 
Hafu sisi tukiwa tunachepuka upendo hufa kabisa nyie hata mkichepuka hatuumii tena tunawaona tu ka watu wa kawaida, mkirudi tunasema huyu sheyani vepee tunawaza mkojozaji wetu[emoji2] [emoji2]
Hio theory naijua mbona tena kama kuna kiumbe rahisi kujua endapo kinachepuka basi ni mwanamke. Hanaga siri unajua tu maana mahaba yote huisha. Inabaki mazoea tu
 
Mie naonaga ni heri nkatafute kulumbembe huko nje ila kutembea na beki 3 humo humo ndani ya nyumba huwa naona sio fair kwakwl kwa mama watt
Mkuu wamama wengine ni vichwa ngumu sana. Bila kumgegedea beki 3 humo humo ndani hawezi kushika adabu yake.
 
Tofauti ya Mme akitembea na HG ni kuwa nobody will ever know mpk labda afumaniwe na hata akifumaniwa ni mkewe ndio atakayejua.
Mke alitoka nje...huyo anayetoka lazima awambie wana kuwa kuna malaya mmoja nagonga( hakuiti hata mwanamke ) anakuita mayala na wana mara zote tunaomba ushahidi na ndio video zinapokujaga na picha pia. Wanaume wama ego ya kujionyesha uanaume wao hasa akitembea na mwanamke wa mwanaume mwingine. So mwanamke utakuwa ukitembea road unanyooshewa vidole kuwa yule mayala anayegonga na mwana si yule pale tena kaolewa yule.

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Hapa naona lawama nyingi zinaelekezwa kwa wanawake! Hata hivyo hilo sio jawabu zuri na la moja kwa moja kuhusu hoja ya uchepukaji wa wanandoa wa jinsia ya kiume....Mwanaume ni kiumbe aliyetayari kufanya mapenzi muda wowote na sehemu yoyote tofauti na mwanamke, na ili kukamilisha hili suala house girls wanakuwa wahanga kwa sababu wao ndio wanakuwa karibu zaidi na wababa wenye nyumba kuliko wanajamii wengine wa jinsia ya kike na ndio maana wao ndio wanajadiliwa sana! Hakuna uhusiano mkubwa kati ya uvivu wa mwanamke na suala la mwanaume kutoka na house girl... Ni nature ya wanaume kimaumbile kutaka kuonja kila ladha mpya kila siku ndio inapelekea yote hayo kama ilivyo nature ya wanawake kutokupendana wenyewe kwa wenyewe.
 
Ndiyo ile yeye anaona uko busy na watoto badala muwewote ili kuunganisha upendo kwa watoto ndiyo maana upendo mwingi wa watoto upo kwamama mtoto hata akiwa na umri mdogo akiona mama anatoa machozi kuna kitu hukiweka moyoni wababa hawajui tu
Wao hawajali hata bond na watoto wao ni kujifikiria tu wao acha tuwanyooshe tu
 
Dah me lazma niandike divorce niwe single tu kuliko kuishi na mwanamke aliemvulia chupi ME mwingine kwa kigezo chochote iwe kudanga au tamaa tu.
Lazima kudanga kwa manufaa na wanaume wenye hadhi ili mambo yaende kusema kuhangaika na mume eti kumpendezesha asichepuke huko nikujichosha bora kutafta tu hela by any means
 
Aisee kweli mumeo anayo kazi hadi sasa najua ushamsaliti kwa zaidi ya mara moja na madanga. Nyie wanawake mkumbuke mama zetu walikuwa wavumilivu sana na kuepusha matatizo kama hayo walijicommitt 100% kwa baba zetu.

At times nadhani uvumilivu ndio hasa factor kubwa inayopeleka ndoa nyingi kuingia matatizoni. Kwahio jamaa akikugundua akakuacha utaolewa na danga sio!?
Yani unanifundisha uvumilivu nyie hamjiheshimu ili iweje kwa taarifa yako wamama zetu walichepuka sana tu tena had kuzaa nje na ilikuwa siri sasa nyie hamtaki kujenga mahusiano yaliyo mema mnataka mubembelezwe dawa ni moja tu
 
Sasa wewe mwanaume usipojiheshimu unataka Nani akuheshimu wewe uko na beki Tatu acha na Mimi nikatafte wakuni ridhisha huko nje ngoma iwe droo mana wataka mnato nami acha nikatafte ya punda. Mwanaume mwenye ubusy wakusaka hela hata ngono huwa hawazi, na akiniudhi tu naenda kujipooza kwa danga langu tena ukute lanipa hela eeeeh[emoji2] [emoji2] [emoji2] Mungu anipe nini na kuwa nasali uhamie kwa mchepuko kabisa ili niwe huru
Ungekua mke wangu........
 
Yani unanifundisha uvumilivu nyie hamjiheshimu ili iweje kwa taarifa yako wamama zetu walichepuka sana tu tena had kuzaa nje na ilikuwa siri sasa nyie hamtaki kujenga mahusiano yaliyo mema mnataka mubembelezwe dawa ni moja tu
Nop, si uvumilivu ila ni right way ya kuishi na mume ndoani sio kama unamfanyia favours!
 
Hii mada INA wanaume wapumbavu ndo maana wake wanawanyima papuchi wanaenda kugawa nje wewe wachepuka na beki Tatu wafikiria.mke hajui kumbe anajua naye anakipoozeo kinacho mhonga sasa kwanini ajichoshe na wewe wakati hisia zimeshakufa yani, ukiona mwanamke anakunyima ujue hisia Hanna lbora muendelee kula beki Tatu na yeye anaye mwingine mwenye hadhi kuliko wewe baba mjengo
Hapo mnapo jichanganya huna hisia nae omba talaka ukaolewe na ulie na hisia nae?
Hujiulizi kwa nini malaya ni mwanamke tu.
 
Ni bora uoe hao watano ili huyu akikuzingua unaenda kwa mwingine
Hahahah we unaonesha hupendi kumuhudumia mume, unapenda kuishi kama mbuzi kwenye ndoa kwamba unajifanyia utakalo bila kuulizwa. In short hutawaliki!
 
Hapo mnapo jichanganya huna hisia nae omba talaka ukaolewe na ulie na hisia nae?
Hujiulizi kwa nini malaya ni mwanamke tu.
This is the most appropriate thing they should do ila wanakimbilia ku cheat ili wawe wanainjoy benefits za kuendelea kuitwa mke na kutumia rasilimali zetu waume.

Inasikitisha sana
 
Yani unanifundisha uvumilivu nyie hamjiheshimu ili iweje kwa taarifa yako wamama zetu walichepuka sana tu tena had kuzaa nje na ilikuwa siri sasa nyie hamtaki kujenga mahusiano yaliyo mema mnataka mubembelezwe dawa ni moja tu
Ishu sio kubembelezwa, ishu ni kuwa KE anapokuwa source ya tatizo inabidi ajirekebishe bila kukimbilia comfort ya third party (danga).Kutumia kama kichaka chake cha kulikimbia tatizo.
 
Sasa wewe mwanaume usipojiheshimu unataka Nani akuheshimu wewe uko na beki Tatu acha na Mimi nikatafte wakuni ridhisha huko nje ngoma iwe droo mana wataka mnato nami acha nikatafte ya punda. Mwanaume mwenye ubusy wakusaka hela hata ngono huwa hawazi, na akiniudhi tu naenda kujipooza kwa danga langu tena ukute lanipa hela eeeeh[emoji2] [emoji2] [emoji2] Mungu anipe nini na kuwa nasali uhamie kwa mchepuko kabisa ili niwe huru
Kwani kusaka hela kuna justify kutokufanya mapenzi. Ina maana unataka kuniambia Mo Dewji hamkazi mkewe ye anatafuta hela tu muda wote cariha?

Kugongwa ni sehemu ya maisha ya mke ambapo ni wajibu asiotakiwa kuukwepa kwa namna yeyote. Sasa kama mumeo unaona kazi kumpa kwa sababu ya uvivu wako tu huo ujasiri wa kumpelekea danga unautoa wapi bibie, otherwise mumeo labda humpendi aisee uliolewa ilimradi upate sifa kwa mashosti!
 
This is the most appropriate thing they should do ila wanakimbilia ku cheat ili wawe wanainjoy benefits za kuendelea kuitwa mke na kutumia rasilimali zetu waume.

Inasikitisha sana
Wangejua tunavyo pambana ili tuwatunze huu ujinga wangeacha.

Mume hakutoshi omba kuwachwa nenda kwa anae kutosha

wanatulazimisha kuua tu
 
Back
Top Bottom