Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Lazima kudanga kwa manufaa na wanaume wenye hadhi ili mambo yaende kusema kuhangaika na mume eti kumpendezesha asichepuke huko nikujichosha bora kutafta tu hela by any means
Kujichosha haswa maana hawabebeki unaweza usiwe hata na house girl kila kitu mfanyie lakini anakuacha na kwenda kuhangaika huko
 
Aisee kweli mumeo anayo kazi hadi sasa najua ushamsaliti kwa zaidi ya mara moja na madanga. Nyie wanawake mkumbuke mama zetu walikuwa wavumilivu sana na kuepusha matatizo kama hayo walijicommitt 100% kwa baba zetu.

At times nadhani uvumilivu ndio hasa factor kubwa inayopeleka ndoa nyingi kuingia matatizoni. Kwahio jamaa akikugundua akakuacha utaolewa na danga sio!?
Ufanye ya hovyo ukitegemea mke atavumilia uchafu wa mme kama hajitambui sawa lakini kama anaijua dhamani yake sizani
 
Uvivu utoke wapi, kashinda na watoto nyumba kaingalia vizuri umekula umefanyiwa vitu vinavyotakiwa kwanini usiende naye taratibu! Hivi wewe usipokuwa vizuri anaweza kukulazimisha na uka perfom vizuri geuza uwe wewe halafu yeye aende kubanjuka wewe unajisikia vipi, neno lenyewe lasema msinyimane na muwe na kiasi ili mpate muda wa kumtafuta Mungu
Hilo neno ndo umechanganya. Biblia inasema "MSINYIMANE, ISIPOKUWA MMEPATANA ili mpate faragha ya kusali'
Sasa kwanza hatujapatana kusali, unaninyimaje? Hapo hata nikimla house girl ni poa tu maana umelianzisha wewe, bila utaratibu.
 
Upo sahihi sana, kumbuka ushoga ulipoanza kutangazwa na baadhi ya medias, angalia nn kimefuata kipindi hiki, kukutana na shoga nje nje ni kitu cha kawaida, ukiingia mahotelin na hata kumbi za starehe ie Night clubs...wamejaa....sasa hizi nyuzi hizi.....Damu ya Yesu itusaidie tunayoijua maana yake.
kweli kabisa ...mkuu
 
Yawezekana wapo wanawake wachache wanaowajali waume zao, mwanamume wa namna hiyo akichepuka sio fair kwa kweli. Lkn kundi kubwa la wanawake hawajali, ndo maana siku hizi michepuko ndo habari ya mjini.
Ndiyo mke anaweza fanya yote mema lakini dhamani yake isionekane mwishowe moyo nao huchoka
 
Mke unakuwa ushaongea nae kuhusu viwango vyake mchezoni kupungua. Anaahidi kujirekebisha ila at last unakuta kuwa hajirekebishi. Sasa mwanaume kulalamika jambo hilo hilo kila uchao manaake ndio nini. Unaamua kupotezea
Ndiyo maana siku mnafungishwa huanza utaishi naye kwa shida na raha, hawaanzi kwa raha na shida, mawasiliano ndiyo kitu muhimu
 
Hio theory naijua mbona tena kama kuna kiumbe rahisi kujua endapo kinachepuka basi ni mwanamke. Hanaga siri unajua tu maana mahaba yote huisha. Inabaki mazoea tu
Nani kwambia kama hujui basi kaa vizuri na mkeo mmoja alisemaje ukitoka huko ukirudi nyumbani ni mapambio kwa kwenda mbele baba unarudi unajua huyu si ndiye wakusalitiwa kumbe ngoma droo
 
Yani unanifundisha uvumilivu nyie hamjiheshimu ili iweje kwa taarifa yako wamama zetu walichepuka sana tu tena had kuzaa nje na ilikuwa siri sasa nyie hamtaki kujenga mahusiano yaliyo mema mnataka mubembelezwe dawa ni moja tu
Tena wamama wazamani walikuwa wa siri sana wengi walizaa nje ya ndoa na wababa hawakulijua hilo mpka mpaka wanakufa au wengi wamejua wakiwa watu wazima lakuamua hakuna
 
Hapo mnapo jichanganya huna hisia nae omba talaka ukaolewe na ulie na hisia nae?
Hujiulizi kwa nini malaya ni mwanamke tu.
Hakuna kuomba talaka ni humo humo mmeishi miaka kibao uende wapi tena
 
Ishu sio kubembelezwa, ishu ni kuwa KE anapokuwa source ya tatizo inabidi ajirekebishe bila kukimbilia comfort ya third party (danga).Kutumia kama kichaka chake cha kulikimbia tatizo.
Unapoona kuna something wrong kwa mke ukiwa ni kichwa cha familia kaa chini muweke kitako mbona rahisi tu
 
Wangejua tunavyo pambana ili tuwatunze huu ujinga wangeacha.

Mume hakutoshi omba kuwachwa nenda kwa anae kutosha

wanatulazimisha kuua tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hakuna kupanik hapo usilopenda kufanyiwa, jaribu kutomfanyia mwenzio mwenzio
 
Yani imagine kutoka familia nzuri had ya watoto wasioeleweka with no good future
Ndiyo hapo sasa halafu mama sio rahisi kumuacha mwanae ateseke yeye awe anachepuka huko lakini upande wa pili nyumbani kuna watoto budget sh 5000 kwasiku kwa mchepuko 20000 kwa siku
 
Una sound too negative..hivi wakati wa uchumba hichi kibamia kama uliona hakikufai,ilikuaje ukaolewa na huyo mtu?..
Si ndiyo kaolewa nacho sasa ndiyo kimeanza kumletea za kuleta
 
Back
Top Bottom