Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wewe mkeo amekwambia hajisikii wewe unamfanya kinguvu huko sikumuonea mwenzako sasa nini maana ya mapenzi sasa, hapo hata haihitaji elimu kubwa kujua ni ubakaji
Ni ubakaji kama ubakaji tu
 
mwanaume akirudi anapokewa na beki tatu
Chakula anapikiwa na beki tatu
Nguo wakati mwingine hadi za ndani anaoikiwa na beki tatu
Maji ya kuoga anapelekewa na beki tatu
wakati hayo yote mke anayetakiwa kufanya yote yuko busy halafu leo mnakuja kulalamika
 
Mm beki tatu yupo sana, na sio kwamba ni wa ajabu, lkn kitu kimoja kinachonisaidia, Nimejikita ktk imani ya hali ya juu ya Kimungu....hvyo naamin kabisa nikimgusa ndoa yangu sio kitu tena....ni dhambi....najua maana ya ndoa iliyounganishwa kiroho madhabahuni ....kuingizwa rohoni sio mchezo, ukizini, utahitaji uponyaji wa hali ya juu sana kurudisha ndoa yako mahali salama.....In short Nimeokoka, nafurahia sana ndoa yangu, kuliko tamaa.
Mme ndiyo huyu hongera sana, ukianza na mmoja beki3 itakuwa kila anayekuja unamtamani waume mmebaki wachache sana
 
Nachokiona kwa washuhudiaji wengi hapa, hakuna anayemfahamu Mungu, wala kuwa na hofu ya Mungu, ukileta ukimwi ndani ni kitu kibaya sana.
Watamjua sangapi Mungu sana sana utasikia sitaki mke mlokole kutwa kuchwa wanawaza uzinzi tu ndiyo hao wakipata magonjwa wanaanza kubukia dawa pekeyao
 
Tatizo la mabeki tatu sio wachoyo.

Kuna mmoja nikiwa sekondary nilipiga mimi,binamu yangu, mjomba na mwisho nikastuka mzee nae kapiga.

Hawa viumbe ni hatari sana tukiwatumia vibaya kama anayo maradhi anaweza maliza familia zima

Tusishabikie ujinga.ukimwi upo pia homa ya inni
ni kweli ndiyo maana some time unaweza ukaona ukimwiumekula nyumba nzima unajiuliza kwa ninkumbe house girl na house boy wameshafanya yao.
 
Hilo neno ndo umechanganya. Biblia inasema "MSINYIMANE, ISIPOKUWA MMEPATANA ili mpate faragha ya kusali'
Sasa kwanza hatujapatana kusali, unaninyimaje? Hapo hata nikimla house girl ni poa tu maana umelianzisha wewe, bila utaratibu.
Ndiyo hapo mpatane kama kuna shida muitatue sio kuichukulia ndiyo fulusa ya kwenda kuchepuka
 
Na wengi huwa wanawachezea michepuko kwa vidole tu nakuchunwa sasa imagine una limwanaume linaonga hovyo maendeleo yatakuja vipi mama usipo tafta means nyingine za maendeleo
Saangapi yatakuja kuumizana tu
 
Hivi nyie wanawake mm sitaacha kucheat, maana mfano mm sijagegeda mke since december sababu naambia sina ham, hivi nikichepuka nani atanilaum hapa. Acha nijilie vicheche kwa raha zangu. Kwa nn nipate stress bana. Na mm asikwambia mtu K naipenda yaan huwa natamani anikatie niweke kwenye boxer kabisa
Sasa wewe badala ya kufuatilia tatizo nini unaishia kwenye vicheche sizani kama unaelewa maana ya ndoa nijuavyo ukiona hivyo inabidi ufanye uchunguzi huyu kunani yupo hivi wakati mwanzo hakuwa hivi haya hongera kwa fungu n ulilochagua
 
Maana wanaume huwa tunachepuka si kwamba tunawachukia wake zetu. Km mm mke wangu nampenda sana tu ila nachepuka kumsaidia kumpunguzia matatizo ya mgegedo kila siku
Tafuta chanzo kuchepuka sio utapata ya kupata huko unaweza kuwa hujijui kumbe mpo 3 bila kujua wewe usizani kwenda huko ndiyo kumaliza tatizo
 
Huwa inafika wakati natamani labda nisingesoma maana upeo wangu ni mkubwa hakuna sehemu Mr akacheat nisijue hadi najichukia maana stress zingine za hovyo tu
Ukiyafwatilia utayajua maana yapo. Ukiyajua yatakuumiza. Tafakari chukua hatua
 
Back
Top Bottom