😂😂😂😂heeeKaka! Usisahau kutumia kinga ikiwezekana vaa 3.
Hao wengi wao ni wauzaji. Hawafugiki
Akijichanganya kaisha, wanakuwaga ni wazuri wa maumbo ila kichwani sifuri.😂😂😂😂heee
Majibu yenu yananivunja moyo😭nasikilizia dawa ikiwa inatafuta ugonjwa Half american jiwe angavu jameson567Kaka! Usisahau kutumia kinga ikiwezekana vaa 3.
Hao wengi wao ni wauzaji. Hawafugiki
Usijichanganye hao ni dau lako tu.Majibu yenu yananivunja moyo😭nasikilizia dawa ikiwa inatafuta ugonjwa Half american jiwe angavu jameson567
Jambo la kwanza mkapime Afya 🐒Hello,
Wazee kuna saluni moja nilienda hapa mjini, dah kuna mtoto nlimwona nkapagawa, ni mzuri haswa, mfupi kiasi, rangi nzuri, chura iliochomoza yenye shepu nzuri, mlaini, miguu yenye shepu nzuri ilionona, nkajisemea kwa uzuri huu hastahili kufanya kazi kama hii.
Wakuu nipeni tips, ikitokea tumeelewana vizuri, nataka nimuoe kabisa.
sio wote lakiniAkijichanganya kaisha, wanakuwaga ni wazuri wa maumbo ila kichwani sifuri.
Mali ya umma hiyo mkuuHello,
Wazee kuna saluni moja nilienda hapa mjini, dah kuna mtoto nlimwona nkapagawa, ni mzuri haswa, mfupi kiasi, rangi nzuri, chura iliochomoza yenye shepu nzuri, mlaini, miguu yenye shepu nzuri ilionona, nkajisemea kwa uzuri huu hastahili kufanya kazi kama hii.
Wakuu nipeni tips, ikitokea tumeelewana vizuri, nataka nimuoe kabisa.