Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hawana alamasio wote lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana alamasio wote lakini
Ushauri mzuri sana huu... Asipo uzingatia atarudi hapa anaulizia dawa za kutibu dudu inatoa usaha wenye harufu kali...Kaa rada,kama umemuelewa mueleze haja yako,ila usisahau ndom kama unataka kavu pimeni kila aina ya ugonjwa wa zinaa kwa usalam wako zaidi.
Mhhhh 🙄🤣😀,".
Kuanzia sikuhiyo nikiwa naenda kunyoa naangalia kama pameandikwa Hair Cutt Saloon ndipo naingia, nikisha nyolewa huyooo naenda home kuoga.
Staki ujinga mimi...🤨
Mbona simpo sana.Hello,
Wazee kuna saluni moja nilienda hapa mjini, dah kuna mtoto nlimwona nkapagawa, ni mzuri haswa, mfupi kiasi, rangi nzuri, chura iliochomoza yenye shepu nzuri, mlaini, miguu yenye shepu nzuri ilionona, nkajisemea kwa uzuri huu hastahili kufanya kazi kama hii.
Wakuu nipeni tips, ikitokea tumeelewana vizuri, nataka nimuoe kabisa.
Hair cutting salon.Kuna hizi mnaziita baba shopu.
Skumoja nikaenda bana, sasa baada ya kunyolewa nikaambiwa "kaa pale kaka", mie huyooo nikaenda nikakaa.
Basi binti mmoja alie vaa vizuri na mapaja yake yanaonekana vizuri kabisa akaja, kwa upole akaniomba niegeshe kichwa kwa nyuma... akaanza kunipaka likuidi sopu, kasafisha kichwa hadi usoni.... ghafla akaingiza kidole kwenye skuo langu man.... niliruka kutoka kwenye kiti huku nikiwa na povu kichwani.... nikafoka sana na nikaondoka wala sikujali kwamba sijasafishwa uzuri, wao wakabaki wanajadili kwamba "huyu kaka mshamba wa wapi".
Kuanzia sikuhiyo nikiwa naenda kunyoa naangalia kama pameandikwa Hair Cutt Saloon ndipo naingia, nikisha nyolewa huyooo naenda home kuoga.
Staki ujinga mimi...[emoji2955]
NakaziaHAO wapo kibiashara ila kama wataka kuoa nenda kijijini tena kijiji ambacho haujafika umeme, utandawazi umewaharibu dada zetu
Na wewe umeanza kuosha nywele wanaume? MIMI NAPIGA KIPARA TU MDADA AKIJILETA. Hatukuambii siri zetu sisi Wanaume.Hello,
Wazee kuna saluni moja nilienda hapa mjini, dah kuna mtoto nlimwona nkapagawa, ni mzuri haswa, mfupi kiasi, rangi nzuri, chura iliochomoza yenye shepu nzuri, mlaini, miguu yenye shepu nzuri ilionona, nkajisemea kwa uzuri huu hastahili kufanya kazi kama hii.
Wakuu nipeni tips, ikitokea tumeelewana vizuri, nataka nimuoe kabisa.
Haijawahi mwanaume akampenda mwanamke kabla ya kumtamani.We umemtamani tu hii gear ya kuoa sidhani kama ni sahihi
Ndio hizo mkuuHair cutting salon.
Ndio zile za bandika bandua.
Mashine haioshwi, akinyolewa huyu anaefuata ni wewe.
Joto, kuchafu, mikelele.
sio namba za simu tu hata uroda watapewa, aache kuleta pigo za kishamba na apunguze wenge, kiukweli mademu wengi pisi kali ni wale wanaofanya mazingira hatarishi kama hayo, na wengi wao kichwani wako watupu hamna kitu.Hizi akili za kumuwakia demu kisa mzuri hapohapo unawaza kumuoa bado zipo??..., hao wafanyakazi wa saluni karibu wote wako hapo kuzuga, wapo hapo kwa ajili ya kuombwa namba za simu. Kujihakikishia mpime kwa kuwaelekeza rafiki zako hata watatu/wanne waende hapo kama wateja, kisha wamuombe namba za simu, wote watapewa tu.
Kutokana na uzoefu wangu, mleta mada ashike hiyo sentensi ya mwisho uliyozungumza.Kaka! Usisahau kutumia kinga ikiwezekana vaa 3.
Hao wengi wao ni wauzaji. Hawafugiki