Wanaume mliowahi kudate wadada wanaoosha nywele saluni za kiume, nipeni uzoefu

Wanaume mliowahi kudate wadada wanaoosha nywele saluni za kiume, nipeni uzoefu

Kaa rada,kama umemuelewa mueleze haja yako,ila usisahau ndom kama unataka kavu pimeni kila aina ya ugonjwa wa zinaa kwa usalam wako zaidi.
Ushauri mzuri sana huu... Asipo uzingatia atarudi hapa anaulizia dawa za kutibu dudu inatoa usaha wenye harufu kali...
 
Kuna mmoja mtaani alikua matata sana na hakutaka ndoa, so watu hadhi tofauti tofauti waliruka naye sana.
Ila Kuna rafiki yangu alimuoa kwa nguvu ya wajomba zake...Sasa hivi wapo mkoani huko na vitoto vitatu.
Wengine utoto, ushamba na hali duni zinawafanya wawe wahuni.
Sababu alimkataa yule mwana kisa hana swagger, eti hajui kuvaa...vibwana vyake vilikua mabishoo wanyoa viduku.
Now anampongeza na kumsifu sana mwana
Nimeshindwa kuelezea in details sababu jamaa nahisi huku yupo.
 
Hello,

Wazee kuna saluni moja nilienda hapa mjini, dah kuna mtoto nlimwona nkapagawa, ni mzuri haswa, mfupi kiasi, rangi nzuri, chura iliochomoza yenye shepu nzuri, mlaini, miguu yenye shepu nzuri ilionona, nkajisemea kwa uzuri huu hastahili kufanya kazi kama hii.

Wakuu nipeni tips, ikitokea tumeelewana vizuri, nataka nimuoe kabisa.
Mbona simpo sana.

Next time ukienda chuku misimbazi miwili.

Andika namba kwenye karatasi.

Weka karatasi katikati ya misimbazi mwili zungusha misimbazi.

Halafu weka kwenye mfuko wa shati.

Rudi kwenye saloon kanyoe.

Ifikiwa wakati wa kuoshwa nywele au ndevu.

Chomoa Ile misimbazi uliyozungusha mpachikie kwenye mfuko wa suruali na hakikisha anaona unachofanya.

Trust me lazima akucheki.

Asipokucheki Rudi mara pili na ya tatu.

Andaa dau nono, mlete kwenye hotel Fulani Iko mazingira safi

Mpige show ya kibabe.

Mara mbili mara tatu

Mara ya nne, Tano, sita, Saba utakula Bure kufidia Hela zako za mawa ya kwanza na pili.

Baada ya hapo utaamua mwenyewe upige chini au ufanye koloni la kudumu.
 
Kuna hizi mnaziita baba shopu.
Skumoja nikaenda bana, sasa baada ya kunyolewa nikaambiwa "kaa pale kaka", mie huyooo nikaenda nikakaa.
Basi binti mmoja alie vaa vizuri na mapaja yake yanaonekana vizuri kabisa akaja, kwa upole akaniomba niegeshe kichwa kwa nyuma... akaanza kunipaka likuidi sopu, kasafisha kichwa hadi usoni.... ghafla akaingiza kidole kwenye skuo langu man.... niliruka kutoka kwenye kiti huku nikiwa na povu kichwani.... nikafoka sana na nikaondoka wala sikujali kwamba sijasafishwa uzuri, wao wakabaki wanajadili kwamba "huyu kaka mshamba wa wapi".
Kuanzia sikuhiyo nikiwa naenda kunyoa naangalia kama pameandikwa Hair Cutt Saloon ndipo naingia, nikisha nyolewa huyooo naenda home kuoga.
Staki ujinga mimi...[emoji2955]
Hair cutting salon.

Ndio zile za bandika bandua.

Mashine haioshwi, akinyolewa huyu anaefuata ni wewe.

Joto, kuchafu, mikelele.
 
Hello,

Wazee kuna saluni moja nilienda hapa mjini, dah kuna mtoto nlimwona nkapagawa, ni mzuri haswa, mfupi kiasi, rangi nzuri, chura iliochomoza yenye shepu nzuri, mlaini, miguu yenye shepu nzuri ilionona, nkajisemea kwa uzuri huu hastahili kufanya kazi kama hii.

Wakuu nipeni tips, ikitokea tumeelewana vizuri, nataka nimuoe kabisa.
Na wewe umeanza kuosha nywele wanaume? MIMI NAPIGA KIPARA TU MDADA AKIJILETA. Hatukuambii siri zetu sisi Wanaume.
 
Ila kuoa kwasababu macho yametamani tu, nayo yataka moyo sana,....Muoe tu mkuu, huenda tukapata jipya la kujifunza kutoka kwako...
 
Hizi akili za kumuwakia demu kisa mzuri hapohapo unawaza kumuoa bado zipo??..., hao wafanyakazi wa saluni karibu wote wako hapo kuzuga, wapo hapo kwa ajili ya kuombwa namba za simu. Kujihakikishia mpime kwa kuwaelekeza rafiki zako hata watatu/wanne waende hapo kama wateja, kisha wamuombe namba za simu, wote watapewa tu.
sio namba za simu tu hata uroda watapewa, aache kuleta pigo za kishamba na apunguze wenge, kiukweli mademu wengi pisi kali ni wale wanaofanya mazingira hatarishi kama hayo, na wengi wao kichwani wako watupu hamna kitu.
 
Kijana
Kijanaa
Kijanaaa
Nimekuita mara tatu kijana, usomapo comment hii isome kwa makini sana. Mimi ni mtu ambaye nimewahi kuwa ktk mahusiano ya kutaka kumuoa mwanamke aliyewahi kufanya kazi barbershop, mtu wa massage.

Kama unataka kufa mapema kwa ajili ya stress za mapenzi hasa kuchapiwa, basi mpe moyo wako huyo mwanamke.

Hizi ni tabia ambazo zipo ndani ya mioyo yao, HAZIWEZI KUONDOKA, ZITAFICHWA TU.

1. Tamaa.
2. Umalaya.

Mbele ya pesa anaweza akafanya lolote bila kujali ameolewa, bila kujali ana mwanaume wake n.k
 
Back
Top Bottom