Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
- Thread starter
- #101
Mpaka ndani........
Lakini hujanijibu kitu moja ol the times huyu jamaa anapiga makasia wewe ulikuwa single???? As kama ulikuwa in a relation nawe pia ulikuwa astray.....if yu were single MODs please sitisha zoezi till further notice
nilikuwa kwenye relationship kama mbili zisizo na mafanikio kati ya mda huo wa miaka 4.,