Wanaume mnajidanganya kwa hili

Wanaume mnajidanganya kwa hili

Kazi nzuri kunako 6 kwa 5 aise inategemeana na mwanamke yukoje.
Ukiwa na mwanamke yuko bomba aise mambo huja automatically.
Wanaume tujitahidi kuoa wanawake wazuri na wanao vutia

[emoji375][emoji375]
umeeleweka mkuu
 
Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge
Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa umeonyesha kuwa pesa ina nguvu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheza na maisha ukifika 50 years ndiyo utajuta kwa nini hukuolea ma mwenye. Umri ule nguvu za like zinapungua mno na hata kuingiwa na dusheinakuwa maumivu inabaki kulalamika , mbona hujaniandaa. Menopause ikfika ndio fainali na unatamani ungekuwa na mwenye hela ukatulia maana uwezo Wa kudanga huna na huna mvuto kwa wanaume tena . Wa namna yako mnaishia kuwa omba omba uzeeni na kutegemea watoto wakutunze wakati hukuwalea malezi bora. Chezea ujana fainali uzeeni unakusubiri. Na MTU Wa maisha ya kuunga unga anachakaa haraka ajabu. . Kwa hakika mwanamke responsible ana miaka 20 tu ya kuenjoy sex kutoka 30 hadi 50 . kabla ya hapo niasomo kwenda mbele na baada ya hapo ni menopause. Msingeuwa na menopause mngetesa sana
Hata mwanaume at 60 power ya sex inapungua mno kiasi kwamba ukioa msichana ni fahari tu humuwezi. Mwenzio anataka sex kila siku na wewe unaweza Mara moja kwa wiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aahahaha embu weka kapicha kako nikuone mrembo. Maana unafahaa kwa matumizi ya binadamu....
Kwa sasa wanaume wanaamini kuwa mapenzi ni pesa ,yaani ili apendwe na mpenzi wake lazima awe na hela za kumpa kitu ambacho si Kweli

Ukweli ni huu,sisi wanawake tunaridhika na mwanaume aliye vizuri kitandani,anayenifikisha kibo na mawenzi,huyo hakika ni moyo wangu,na haiwezi ikapita SAA 1 sijakuuliza uko wapi,au kukuulizia kitu chochote na kama hana hela namwelewa sana,na naona kawaida tofauti na yule ambaye kitandani hayupo vizuri halafu nikuombe hela ,huna ntanuna na naweza kukuona kama takataka Fulani na unavyojua wanawake tunadharau sana

Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge

Wewe mwanaume hebu jitume umfikishe kibo na mawenzi mpenziwe halafu mnyime hela uone kama huyo mwanamke atanuna au atakuacha,hakuachi ng'oo,hata kama amekufumania hawezi kukuacha lakini kama hufanyi kazi au unafanya blah blah basi jiandae kuachwa au kuwa ATM

Mwanaume tafuta pesa na piga kazi 6×6 uone,mwanamke atatulia kama maji ya mtungi atakuheshimu kama baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Wanajifanya wanastress kumbe ni tamaa tu zinawasumbua...


Cc: mahondaw
 
Swali langu nitakupataje ili ujue kuwa Mimi kwenye 6kwa 6 niko bomba kama mbwa
 
Kwa sasa wanaume wanaamini kuwa mapenzi ni pesa ,yaani ili apendwe na mpenzi wake lazima awe na hela za kumpa kitu ambacho si Kweli

Ukweli ni huu,sisi wanawake tunaridhika na mwanaume aliye vizuri kitandani,anayenifikisha kibo na mawenzi,huyo hakika ni moyo wangu,na haiwezi ikapita SAA 1 sijakuuliza uko wapi,au kukuulizia kitu chochote na kama hana hela namwelewa sana,na naona kawaida tofauti na yule ambaye kitandani hayupo vizuri halafu nikuombe hela ,huna ntanuna na naweza kukuona kama takataka Fulani na unavyojua wanawake tunadharau sana

Mwanaume hata kama una kidogo,kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila unajituma 6×6,Wewe nakung'ang'ania mpaka basi,hata kama tumepigika tajiri mmoja akaja kuomba gem nampa ili nipate hela za kutumia na mpenzi nimpendaye ila siwezi kumwambia hela nimetoa wapi ,naweza kumwambia nimekopa madam maisha yetu yasonge

Wewe mwanaume hebu jitume umfikishe kibo na mawenzi mpenziwe halafu mnyime hela uone kama huyo mwanamke atanuna au atakuacha,hakuachi ng'oo,hata kama amekufumania hawezi kukuacha lakini kama hufanyi kazi au unafanya blah blah basi jiandae kuachwa au kuwa ATM

Mwanaume tafuta pesa na piga kazi 6×6 uone,mwanamke atatulia kama maji ya mtungi atakuheshimu kama baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeeeeeeeee ngoja nianze kujituma daaaa!!! Isije ikawa anawapelekea pesa zangu wanaojituma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom