Wanaume mnakera sana kupenda vya bure

Mwanamke akikuambia biashara fulani inalipa achana naye wao huwa na vyanzo vingine vya mapato visivyo eleweka, mwanaume akilalamika hali ngumu ujue kweli hali ni ngumu.
 
Ndo maana ata vitabu vya dini vinakataa msifanye kaz na make kutuudumia utamu tu.maana Hanna akili uko kichwani wengi wenu

Mwanaume yeyote sio mbinafsi na hupigania haki yake na rafiki zake .elim ikiwa bure itapunguza kuombwa hela na ndugu jamaa na marafiki, watu pia watawekeza iyo ela ya ada kwenye miradi mingine na hayo ndo maendeleo.

Usifikirie kwa kutumia chini ya kitovu , tumia akili
 
saa hapo siasa na act kubadlilika au wanaume waoga wajitambue....maana out of order...mie mbona silalamiki naiga kazi tuu nilee mtoto wangu
 
We mbona ulimsaliti mumeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…