Wanaume mnalalamika sana, tumewachoka!

Wanaume mnalalamika sana, tumewachoka!

majoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
2,595
Reaction score
4,775
Nimefanya utafit mdogo tu humu nimegundua wanaume mnalalamika sana kuhusu wanawake kuwaomba pesa, kuwapiga mizinga, kutotosheka na mnachowapa na mengine kibao. Jamani eee hebu acheni kulalamika kwa kuwa hayo mmeyataka wenyewe. Unatafuta mwanamke ili uwe unamwaga grisi chafu hapo na unataka akuhurumie asikuombe chochote! Haiwezekani hata kidogo. Wewe kama unajiona unahitaji mwanamke kwa nini huoi? kwa nini usimchukuwe jumla? muweke ndani maisha yaendeleee....Lakini hii biashara ya malalamiko yasiyo ya msingi humu tumeichoka! Acha wawapige mizinga hadi mtie akili na kutafuta ufumbuzi ambao ni wa kubeba jumla. Hamjifunzi wa baba zenu? hamuoni wametulia na mama zenu?

Tofauti na hivyo mtaishia kulishwa malimbwata, kudharauliwa, kupoteza muda kuwaza maumivu ya kutendwa badala ya kuwaza na kupanga maisha. Ukweli ni kwamba simhurumii hata kidogo mwanamume anayepigwa mizinga! Pigweni tuuuuuuu.... good day kwa wapigwa mizinga wote
 
Kwakweli lawana za wanaume zimekuwa too much!

Nilijua wanaume ni watu wasiokuwa na maneno mengi lkn hawa wa sasa wameundergo evolution.

Unajua ukiwa ni mtu wa lawama tu kilasiku watu wanakuzoea na wanachukulia kuwa ni tabia yako na wala hutendewi ubaya kihivyo.

Wanaume anzisheni mahusiano na wanawake sio mademu vinginevyo msijidhalilishe kwa lawana zisizoisha mnatia aibu.
 
Malaya wanaojiuza hakunaga mizinga, ni biashara ya wakati wa tukio kisha kila mmoja anajikataa kivyake.

Ila mademu nanyi msipotongozwa kwa muda mrefu mnakuwa na hofu na kujawa na hasira halafu mnakuwa mnamiss kupiga mizinga pia
 
Malaya wanaojiuza hakunaga mizinga, ni biashara ya wakati wa tukio kisha kila mmoja anajikataa kivyake.

Ila mademu nanyi msipotongozwa kwa muda mrefu mnakuwa na hofu na kujawa na hasira halafu mnakuwa mnamiss kupiga mizinga pia


Kwa hiyo uko tayari kupigwa mzinga kwa kuwahudumia mademu kwa kutotongozwa??? ha ha haaaa basi msilalamike
 
Back
Top Bottom